co fm
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 1,415
- 2,140
Habari za humu wadau,
Ninatafuta ISP ambaye anaweza kutoa huduma ya internet kwa njia ya satellite.
Tafadhali kama kuna mtu anaweza nisaidia humu itakuwa vizuri pia maswali yafuatayo:
1. Je dish ambalo akifunga nitaweza kumove nalo kutoka mahali alipofungia?
2. Je ninaweza kumove nalo pia outside the country nchi kama Kenya, Rwanda au Congo?
3. Je gharama zake zipoje?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ninatafuta ISP ambaye anaweza kutoa huduma ya internet kwa njia ya satellite.
Tafadhali kama kuna mtu anaweza nisaidia humu itakuwa vizuri pia maswali yafuatayo:
1. Je dish ambalo akifunga nitaweza kumove nalo kutoka mahali alipofungia?
2. Je ninaweza kumove nalo pia outside the country nchi kama Kenya, Rwanda au Congo?
3. Je gharama zake zipoje?
Sent from my iPhone using JamiiForums