Mama Amon
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 2,021
- 2,478
Wadau,
Salaams.
Huku kwetu Sumbawanga ni kwenye periferi.
Magazeti hufika siku ya tatu.
Ni tofauti nanyi mlioko mikoa ya kosmopilitani.
Hata hotuba za wakubwa tunazisoma siku ya tatu.
Kwa hiyo nilitaka nijisomee kwa kina kupitia mitandao ya serikali kama vile tovuti ya Ikulu na EGA. Kuna taarifa chache sana.
Hata hotuba ya Rais ya juzi wakati anahutubia SADC haijawekwa. Kwa ujumla hotuba za Marais wetu wote kuzipata ni shida.
Zinapatikana wapi?
Naomba msaada.
Mama Amon.
Sumbawanga.
.