Natafuta hiki kitabu

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,605
696,697
43e5ffbe2f146865ce1a9d725c744399.jpg
 
'CONCUBINE' masuala ya nyumba ndogo kwa mujibu wa kiingilishi changu cha std iii-ya kikoloni. mkuu mshana neno lako tafadhali!!!
 
Mshana, ukitaka pia ipo filamu yake ambayo ilitolewa mwaka 2007.

Concubine ni fasihi andishi kali sana.

Ipo tamthiliya ingine yaitwa The Great Ponds, ambayo Amadi alitunga inazungumzia kisima kidogo cha maji ambacho kinagombewa na wanakijiji wa vijiji viwili kima moja kikitaka kumiliki hicho kisima.
 
Mshana, ukitaka pia ipo filamu yake ambayo ilitolewa mwaka 2007.

Concubine ni fasihi andishi kali sana.

Ipo tamthiliya ingine yaitwa The Great Ponds, ambayo Amadi alitunga inazungumzia kisima kidogo cha maji ambacho kinagombewa na wanakijiji wa vijiji viwili kima moja kikitaka kumiliki hicho kisima.
Akhsante sana kwa kunikumbushia 'the great ponds' mkuu.
 
Mshana, ukitaka pia ipo filamu yake ambayo ilitolewa mwaka 2007.

Concubine ni fasihi andishi kali sana.

Ipo tamthiliya ingine yaitwa The Great Ponds, ambayo Amadi alitunga inazungumzia kisima kidogo cha maji ambacho kinagombewa na wanakijiji wa vijiji viwili kima moja kikitaka kumiliki hicho kisima.
Nimekisoma hiki nacho
 
Nimekisoma hiki nacho
The Great ponds nilikielewa lakini hiki ukitafutacho 'Concubine' dah!,lugha baba lugha,nilikirudia mara mbili nikiwa form one lakini duh!!!,ukikipata nigaie nami nichimbue kimalkia tena labda nitaambulia kitu.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom