Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina huyo mtunzi ELECHI AMADI ameshafariki
Ndio mkuu nilipataulipata nafasi ya kwenda kumzika mkuu?
Kitabu kitamu sana. Hao ndio walikuwa waandishi.
Akhsante sana kwa kunikumbushia 'the great ponds' mkuu.Mshana, ukitaka pia ipo filamu yake ambayo ilitolewa mwaka 2007.
Concubine ni fasihi andishi kali sana.
Ipo tamthiliya ingine yaitwa The Great Ponds, ambayo Amadi alitunga inazungumzia kisima kidogo cha maji ambacho kinagombewa na wanakijiji wa vijiji viwili kima moja kikitaka kumiliki hicho kisima.
Nimekisoma hiki nachoMshana, ukitaka pia ipo filamu yake ambayo ilitolewa mwaka 2007.
Concubine ni fasihi andishi kali sana.
Ipo tamthiliya ingine yaitwa The Great Ponds, ambayo Amadi alitunga inazungumzia kisima kidogo cha maji ambacho kinagombewa na wanakijiji wa vijiji viwili kima moja kikitaka kumiliki hicho kisima.
The Great ponds nilikielewa lakini hiki ukitafutacho 'Concubine' dah!,lugha baba lugha,nilikirudia mara mbili nikiwa form one lakini duh!!!,ukikipata nigaie nami nichimbue kimalkia tena labda nitaambulia kitu.Nimekisoma hiki nacho