Mary Beatus
Member
- Feb 23, 2014
- 11
- 6
he is just right there near you!
Hujambo mkuu?
wewe huogopi kuramba garasa humu??
Husninyo..ni PM plz
Kigezo muhimu awe na mkia mbele
Kwani wewe unamtaka yeye au hivyo ulivyoviorodheza...??? Kama unataka elimu si uende darasani...!!!
Jamani natafuta boyfriend ila awe serious maana huu upweke sasa unaelekea kuniua... Mchumba niliekuwa nae kapata ajali mwaka jana ikiyopoteza maishaa yake... Ni mwaka sasa umepita nadhani nahitaji kurudi sawa..
Wote mliobeza nawashukuru sana... Ila siku yakiwakuta ndio mtaelewa nilikuwa namaanisha nini......!