Natafuta Guest House inayoanzia 10,000-20,000 Dodoma Mjini

ndio yaliyonikuta, saa 2 usiku nilitembea lodge kama 7 zote zimejaa, mji huu sijui unajazwa na watu gani
Naona watu wanakupoteza hapa. Kuna fact zifuatazo unatakiwa uzijue kuhusu Dodoma;
1. Stand ilipo hakuna guest hata moja iko nje ya mji.
2. Kutoka stand ilipo kwenda mjini katikati ni umbali wa dak 30 hadi 45 kwa daladala za kawaida.

Hivyo kwa maana hiyo mtu akikutajia guest ambayo iko karibu na stand anakudanganya.

Unachotakiwa kufanya. Ukifika stand kuu Dodoma waambie wakushushe mjini (Makole au CBE, ukishashushwa hapo kuna ofisi nyingi za mabasi ya kwenda Mwanza ambayo asubuhi hata usipoenda stnd kuu unaweza pandia hapo, watakupa maelekezo.

Pia hapo hapo maeneo hayo luna guest nyingi sana ambazo zitakuwa za karibu na bei yeyote utakayotaka.

Angalizo: maeneo haya pia ndio Bunge lipo, so kunauwezekano pamejaa sana lakini ukifika mapema ni rahisi kupata sehemu nzuri na ya na ya bei unayotaka wewe.
 
ndio yaliyonikuta, saa 2 usiku nilitembea lodge kama 7 zote zimejaa, mji huu sijui unajazwa na watu gani
Ukiona hivo jua ni mji mdogo sana na unajaa kwa msimu, wawekezaji wanaogopa biashara ya msimu
 
Ukiona hivo jua ni mji mdogo sana na unajaa kwa msimu, wawekezaji wanaogopa biashara ya msimu
Mkuu Dodoma mjini kuna Guest houses na lodges nyingi sana tena sana, na zinajaa mapema.
Sema nyingi ni low standard za 20 - 25k, chache ndio zinaenda juu ya hapo, halafu cha ajabu sasa hizo za juu ndio zinawahi kujaa.
Za vichochoroni za 10-15k ni kama zile za buku 5 Manzese, mbaya kweli kweli lakini bado watu wanalala na zinajaa.
 
Habari za muda huu wana JF,


Bila kupoteza muda,siku ya Ijumaa natarajia kuanza safari ya kutoka Dar Es Salaam kuelekea Katavi kwa shughuli binafsi na natarajia kupita DODOMA kwa mara ya kwanza. Hivyo nitapumzika hapo mjini angalau kwa usiku mmoja kwa ajili ya kutalii kidogo kisha nitaendelea na safari.


Sasa naomba kujulishwa jina na mahali ambapo naweza kupata chumba cha kulala kwa bei ya 10,000-20,000 karibu na stendi kuu na usalama uwe wa uhakika.

Pia,pawe na utulivu na pasiwe na wanawake wa kujiuza.


Wenyeji wa Dodoma msaada tafadhali.
Ipo Moja ni mpya maeneo ya hazina jirani na ukumbi w Roma inaitwa Omax lodge ni nzuri Tena budget yako inatuhusu
 
Na hii ni kwa siku ya jumamosi,ninachowasifu hizi screenshots ni zile za free tips tu.Sisi ambao tupo ulimwengu wa tatu wanatubeba sana.
 

Attachments

  • Screenshot_20230925_171741.jpg
    Screenshot_20230925_171741.jpg
    71.3 KB · Views: 4
  • Screenshot_20230925_171746.jpg
    Screenshot_20230925_171746.jpg
    63.7 KB · Views: 5

Similar Discussions

Back
Top Bottom