Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,484
- 5,142
Hapa sio mtaani? Basi nielekeze huo mtaa wenu wanakopatikana.
pale Masaki unapowaona kila siku wameisha?na pale mtaani kwenu Mak.. Wameisha????
Hapa sio mtaani? Basi nielekeze huo mtaa wenu wanakopatikana.
Hapa sio mtaani? Basi nielekeze huo mtaa wenu wanakopatikana.
Natafuta msichana wa ku-spend naye sikukuu hizi, yaani kuanzia tarehe 24 December, 2012 hadi tarehe 02 January, 2013. Sifa zake ni:-
- Awe mrembo na wa kuvutia
- Umri kati ya miaka 18 - 25
- Asiwe mnene wala mwembamba sana
- Awe tayari kupima afya kwanza
- Kama atafurahia na mimi nikavutiwa naye basi tunaweza kuendelea na mahusiano hata baada ya hapo
Kwa aliye tayari na mwenye vigezo hivyo vyote basi ani-pm. Kwa wengine wote nawatakia sikukuu njema na tukutane tena hapa mwakani.
kupima afya ili ampige demu kavukavu,jamaa ni noma huyo.Apime afya unataka kumfanya nini? Kwani kuspend siku hiza lazima uwe umepima duu.
Humu hupati ng'oooooooo, domo zege wewe.
mh, secret admirer unapenda 6 pack, i got 12 packs, 6 on both sides, so SEXY
Hata mimi pia nahitaji kaka,Natafuta msichana wa ku-spend naye sikukuu hizi, yaani kuanzia tarehe 24 December, 2012 hadi tarehe 02 January, 2013. Sifa zake ni:-
Kwa aliye tayari na mwenye vigezo hivyo vyote basi ani-pm. Kwa wengine wote nawatakia sikukuu njema na tukutane tena hapa mwakani.
- Awe mrembo na wa kuvutia
- Umri kati ya miaka 18 - 25
- Asiwe mnene wala mwembamba sana
- Awe tayari kupima afya kwanza
- Kama atafurahia na mimi nikavutiwa naye basi tunaweza kuendelea na mahusiano hata baada ya hapo