ngosha2011 JF-Expert Member Aug 20, 2011 681 87 Jul 10, 2016 #1 natafuta Gari aina ya mark x,namba kuanzia c,bajeti Yangu 11m
cmp JF-Expert Member Jul 11, 2015 6,095 6,736 Jul 10, 2016 #3 11 m naona kama bajeti ndogo mkuu.Kwanini usijivute juu kidogo ukapata gari nzuri?
xuxu meyu JF-Expert Member Apr 24, 2014 426 366 Jul 10, 2016 #4 Unatafuta gari au dalali wa magari maana kama unatafuta gari maduka ya magari huya onagi humo njiani au jeuri tu
Unatafuta gari au dalali wa magari maana kama unatafuta gari maduka ya magari huya onagi humo njiani au jeuri tu
maringeni JF-Expert Member Oct 8, 2013 3,198 3,888 Jul 10, 2016 #5 Gari hilo hata ukipata kwa bei hiyo matengenezo yake utayaweza? Maana ukiona linauzwa 20m+ ujue matengenezo yapo juu pia.
Gari hilo hata ukipata kwa bei hiyo matengenezo yake utayaweza? Maana ukiona linauzwa 20m+ ujue matengenezo yapo juu pia.
ngosha2011 JF-Expert Member Aug 20, 2011 681 87 Jul 10, 2016 Thread starter #7 Elli said: Njoo inbox faster Click to expand... Nimeku-pm
ngosha2011 JF-Expert Member Aug 20, 2011 681 87 Jul 10, 2016 Thread starter #9 samwel dismas said: Unitumie namba Click to expand... Ok
ngosha2011 JF-Expert Member Aug 20, 2011 681 87 Jul 10, 2016 Thread starter #10 ngosha2011 said: Ok Click to expand... 0746548636
M manchesterunited Member Dec 20, 2015 21 2 Jul 10, 2016 #11 Gali nzuri mark x rivas inakuonyesha kila kitu ukiwa unarudi nyuma
Abuu Kauthar JF-Expert Member Jul 10, 2011 3,950 5,692 Jul 10, 2016 #12 manchesterunited said: Gali nzuri mark x rivas inakuonyesha kila kitu ukiwa unarudi nyuma Click to expand... Jamaa acha ushamba, hiyo inaitwa back camera na ni option ya gari nying tu inazo sio mark x pekee. Na kuna mark x zingine hazina hiyo option
manchesterunited said: Gali nzuri mark x rivas inakuonyesha kila kitu ukiwa unarudi nyuma Click to expand... Jamaa acha ushamba, hiyo inaitwa back camera na ni option ya gari nying tu inazo sio mark x pekee. Na kuna mark x zingine hazina hiyo option