tete'a'tete
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 472
- 62
Kama unayo kati ya hizo gari hapo juu na utaka kuziuza please nipm tufanye biashara nipo Dar.
Bajeti yako ???maana kuna siku jamaa aliweka tangazo anaitaji Rav 4,nikamtafuta Pm baadaye akaomba nimtumie picha,kusumbuka kote nikajajua mwishoni kuwa bajeti yake ni 4.5ml !!!!ningejua mapema wala nisingesumbuka..
mkuu hilo neno, maana hivyohivyo ilinitokea mimi kusumbuka kote mwishowe ana mil 3. Nilikaa tu kimya
Ipo Toyota Allion Mkuu,kama upo interested..bei ni poa kabisa.Kama unayo kati ya hizo gari hapo juu na utaka kuziuza please nipm tufanye biashara nipo Dar.
Imepatikana IST 2004 ,1300cc, 130000km ,cd radio..imetoka juzi tu bandarini..ni PM tuwasiliane.Kama unayo kati ya hizo gari hapo juu na utaka kuziuza please nipm tufanye biashara nipo Dar.
Daihatsu boon mpya namba unaweka mwenyewe bei milion 8.2 ni kama passo ilivyo niPM
Daihatsu boon ya mwaka gani, odometer inasomaje? CC 990 au 1300?
Mkuu nina passo ya mwaka 2005 colour ni pink...nimeshaifanyia registrations na comprehensive insurance Juu..unaweza kunitafutia mteja...bei ni 7.5millMkuu zipo unit 2, colour golden, cc 996, YoM 2005, mileage nitakupa jibu Nicheki documents hapa nipo njiani nikifka nitakuambia
Suala la Odometer haiwez kuwa document tena. Kwan bado liko bandarini!? Si litakuwa lilitembea kidogo hadi home au yard? Haiwez kuwa sawa na kwenye document!Mkuu zipo unit 2, colour golden, cc 996, YoM 2005, mileage nitakupa jibu Nicheki documents hapa nipo njiani nikifka nitakuambia
Mkuu me ninayo vtz mpya kabsa 6.5ml