Osaba
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 1,937
- 772
Iko vizuri hizi gari ingawa wengi wanaziponda, mimi ninayo mwaka wa tano sasa sijabadili injini na nishasafiri nayo sana Tanga na Arusha iko vizuri tu cha muhimu badili tairi na rim ufunge size 14 na mafuta tumia yasiyochakachuliwa mimi huweka vituo vya total pekee, na kuhusu ulaji wa mafuta gari kama mpya inaenda hadi km ishirini na tatu kwa lita mojaNa mimi nataka kupata ufafanuzi wa gari ndogo iitwayo Duet ubora na udhaifu wake. Nataka kuinunua kwa sifa ya matumizi madogo ya mafuta, je ni kweli?