Hbr za leo Wana jforum!!
Natafuta mke,awe
Elimu;diploma and above
Umri:miaka 34 au chini
Dini.mkristo
Kabila: lolote
Nb akiwa na watoto au mgumba ni sifa nyongeza!!
Sifa zangu
Mi Nina watoto wawili
mwajiriwa serikalini
Miaka 35
Dini;mkristo
Kuna uzi ulisha wahi andika una mke ....
Kuna uzi mwingine tena ukandika una tafta wife ...
Leo tena una tafta wife ....
Mkuu bado tu hujapata au basi tu unafuruhisha jamvi .... au dini inaruhusu mkuu
Hii ni hali ya kawaida kutokea kwenye ndoa, ila ukijiendekeza ukashindwa kusimama kwenye nafasi yako kumlimda mkeo na watoto wako ukaamua kumpigania huyo x akawa wako huku wanao uwaoni tena na mama yao humuoni tena amemove on bila wewe na ww upo na tapishi lako ndo utajua kuwa wewe ni UGORO.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.