Natafuta fundi wa kuweka fog lights kwa gari

Kwenye kufunga fog light kuweni makini wapendwa kuna jambo lilinikuta
Hata mimi kuna jambo liliwahi kunikuta miaka 5 iliyopita...nilijikuta ninasuka upya bando la wanya urefu kama wa mita moja hivi....
Kuanzia siku hiyo, chawa wasiojielewa wanaojiita mafundi kwangu mimi wapite hivi..
 
Vipi kuhusu kufunga zile honi mbili zenye mlio mkali. Nasikia nazo wakikosea wiring ni hatari.
Hizo zote zinahusisha mambo ya wiring mara nyingi inakuwa sio ukoseaji wa kufunga Bali ni ubovu wa kifaa(fake) pamoja na wire...
Kwa mfano kama fog lights zinahitaji betri ya volt 12 huku gari yenyewe isiwe vitu vinavyotumia umeme mwingi kama speaker za booster,redio za Android na vitu vinginevyo
 
Habari if! Naomba mwenye kumjua fundi makini wa kuniwekea fog lights kwenye gari yangu Toyota axio kwa Dar au Arusha , mkinifahamisha pia gharama nitashukuru , fog lights za round ( HID bulbs)

@leirilwa umefikia wapi mkuu ?
 
Waulize jama wana office dom
Asante bro. Nilifanikiwa kwenda. Nimefunga taa nyuma karibu na bonba la Exhaust (urembo tu haina maana yoyote, si unajua sisi vijana).

Gari yangu usiku kwa nyuma inamulika mwanga wa blue, unapiga kwa chini hivi. Safiiiiiii.

Nimechukua namba za majamaa pale, next week unaenda tena kuli-pimp zaidi gari langu. Nalipenda gari langu, japo ni babywoka.

Jamaa wananisifia eti "mwanangu unaitunza kweli gari yako, kama mpya vile..." Wangejua gharama nazoingia kuli-pimp gari mammae.

View attachment 1627359

View attachment 1627361
 
Fog light mkuu zina kazi ya kufanya gari lako lionekane na dereva anayekuja upande wako....yaani wewe ukione chombo vha mwenzako na mwenzako akione chombo chako..

Zinatakiwa ziwashwe wakati wa mchana kama kuna ukungu, mvua, vumbi au moshi unaotanda barabarani..

Nitoe mfano mrahisi siku ya jana asubuhi kwa sisi wa Arusha kulikuwa na hali ya ukungu mkali na mvua nyepesi, dereva huoni mbele zaidi ya mita 100 ....sasa huu ndiyo wakati muafaka wa kutumia fog light ili gari lako lionwe na madereva wengine...

Nchi kama Marekani ni sheria kuwasha fog light wakati wote, kama gari halina fog light unatakiwa uwashe Low beam light...kwa sababu wakianza kipindi cha ukungu na kudondoka kwa theluji, kipindi hiki hudumu kwa miezi kadhaa..

Nchini kwetu sheria hailazimishi kuwasha fog light mchana au kutokuwasha.......ndiyo maana usishangae mchana umewasha zako fog light, watu wqnakupigia miluzi weweee zima taa..

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaongelea 'STANDBY LIGHTS'' sio Fog lights.

Fog light inatumika kutoa msaada wa kuangaza katika mazingira ya ukungu unaofanya dereva asione vema barabara akiwa njiani. Fog light huwa zinakaa kwenye front bumper chini kabisa ili zimulike sakafu ya barabara au lami.

Kwa upande mwingine, Standby au Parking lights hizi hutumika pale gari inapokuwa on. Inaweza kuwa mchana au usiku. But hizi taa hutumika kama ishara au alama kuwa kuna chombo cha moto kipo road.

Huwashwa kipindi cha mchana iwe jua au mvua na usiku zitawaka lazima sababu huwezi washa taa kubwa bila kuwasha standby lights kwanza.
 
Fog light mkuu zina kazi ya kufanya gari lako lionekane na dereva anayekuja upande wako....yaani wewe ukione chombo vha mwenzako na mwenzako akione chombo chako..

Zinatakiwa ziwashwe wakati wa mchana kama kuna ukungu, mvua, vumbi au moshi unaotanda barabarani..

Nitoe mfano mrahisi siku ya jana asubuhi kwa sisi wa Arusha kulikuwa na hali ya ukungu mkali na mvua nyepesi, dereva huoni mbele zaidi ya mita 100 ....sasa huu ndiyo wakati muafaka wa kutumia fog light ili gari lako lionwe na madereva wengine...

Nchi kama Marekani ni sheria kuwasha fog light wakati wote, kama gari halina fog light unatakiwa uwashe Low beam light...kwa sababu wakianza kipindi cha ukungu na kudondoka kwa theluji, kipindi hiki hudumu kwa miezi kadhaa..

Nchini kwetu sheria hailazimishi kuwasha fog light mchana au kutokuwasha.......ndiyo maana usishangae mchana umewasha zako fog light, watu wqnakupigia miluzi weweee zima taa..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ni Fog lights. Kwenye huu mfano nimetumia descovery 4 hiyo kama mfano.
images%20(1).jpg
 
Fog light mkuu zina kazi ya kufanya gari lako lionekane na dereva anayekuja upande wako....yaani wewe ukione chombo vha mwenzako na mwenzako akione chombo chako..

Zinatakiwa ziwashwe wakati wa mchana kama kuna ukungu, mvua, vumbi au moshi unaotanda barabarani..

Nitoe mfano mrahisi siku ya jana asubuhi kwa sisi wa Arusha kulikuwa na hali ya ukungu mkali na mvua nyepesi, dereva huoni mbele zaidi ya mita 100 ....sasa huu ndiyo wakati muafaka wa kutumia fog light ili gari lako lionwe na madereva wengine...

Nchi kama Marekani ni sheria kuwasha fog light wakati wote, kama gari halina fog light unatakiwa uwashe Low beam light...kwa sababu wakianza kipindi cha ukungu na kudondoka kwa theluji, kipindi hiki hudumu kwa miezi kadhaa..

Nchini kwetu sheria hailazimishi kuwasha fog light mchana au kutokuwasha.......ndiyo maana usishangae mchana umewasha zako fog light, watu wqnakupigia miluzi weweee zima taa..

Sent using Jamii Forums mobile app
Fog light
images.jpg
 
Fog light mkuu zina kazi ya kufanya gari lako lionekane na dereva anayekuja upande wako....yaani wewe ukione chombo vha mwenzako na mwenzako akione chombo chako..

Zinatakiwa ziwashwe wakati wa mchana kama kuna ukungu, mvua, vumbi au moshi unaotanda barabarani..

Nitoe mfano mrahisi siku ya jana asubuhi kwa sisi wa Arusha kulikuwa na hali ya ukungu mkali na mvua nyepesi, dereva huoni mbele zaidi ya mita 100 ....sasa huu ndiyo wakati muafaka wa kutumia fog light ili gari lako lionwe na madereva wengine...

Nchi kama Marekani ni sheria kuwasha fog light wakati wote, kama gari halina fog light unatakiwa uwashe Low beam light...kwa sababu wakianza kipindi cha ukungu na kudondoka kwa theluji, kipindi hiki hudumu kwa miezi kadhaa..

Nchini kwetu sheria hailazimishi kuwasha fog light mchana au kutokuwasha.......ndiyo maana usishangae mchana umewasha zako fog light, watu wqnakupigia miluzi weweee zima taa..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ndio Standby au Parking lights
images%20(5).jpg
 
Fog light mkuu zina kazi ya kufanya gari lako lionekane na dereva anayekuja upande wako....yaani wewe ukione chombo vha mwenzako na mwenzako akione chombo chako..

Zinatakiwa ziwashwe wakati wa mchana kama kuna ukungu, mvua, vumbi au moshi unaotanda barabarani..

Nitoe mfano mrahisi siku ya jana asubuhi kwa sisi wa Arusha kulikuwa na hali ya ukungu mkali na mvua nyepesi, dereva huoni mbele zaidi ya mita 100 ....sasa huu ndiyo wakati muafaka wa kutumia fog light ili gari lako lionwe na madereva wengine...

Nchi kama Marekani ni sheria kuwasha fog light wakati wote, kama gari halina fog light unatakiwa uwashe Low beam light...kwa sababu wakianza kipindi cha ukungu na kudondoka kwa theluji, kipindi hiki hudumu kwa miezi kadhaa..

Nchini kwetu sheria hailazimishi kuwasha fog light mchana au kutokuwasha.......ndiyo maana usishangae mchana umewasha zako fog light, watu wqnakupigia miluzi weweee zima taa..

Sent using Jamii Forums mobile app
Standby au Parking lights
images%20(4).jpg
 
Back
Top Bottom