witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,098
Aah wapi!na mm nilikuwepo, nikakusamehe kukulima cheti
Ni fala limoja pale gerezani lilifunga vibaya ikapiga shot, aaah hapa dar ujinga mwingi sana
Aah wapi!na mm nilikuwepo, nikakusamehe kukulima cheti
Hata mimi kuna jambo liliwahi kunikuta miaka 5 iliyopita...nilijikuta ninasuka upya bando la wanya urefu kama wa mita moja hivi....Kwenye kufunga fog light kuweni makini wapendwa kuna jambo lilinikuta
Fogi laiti ni muhimu, hasa kwa watembeaji usiku na kati mazingira nzingira tofauti. Ila kama unatembea posta to upanga hazina hajaKwenye kufunga fog light kuweni makini wapendwa kuna jambo lilinikuta
Vipi kuhusu kufunga zile honi mbili zenye mlio mkali. Nasikia nazo wakikosea wiring ni hatari.Gerezani Kariakoo pembezoni mwa ukuta wa shule ya sekondari ya DAR es salaam (DAR es salaam secondary school).
Kuna mafundi kibao hapo pia ukishafika mitaa hiyo utaona Tu Magari yanatengenezwa na mengine yamepaki tu
Hizo zote zinahusisha mambo ya wiring mara nyingi inakuwa sio ukoseaji wa kufunga Bali ni ubovu wa kifaa(fake) pamoja na wire...Vipi kuhusu kufunga zile honi mbili zenye mlio mkali. Nasikia nazo wakikosea wiring ni hatari.
Habari if! Naomba mwenye kumjua fundi makini wa kuniwekea fog lights kwenye gari yangu Toyota axio kwa Dar au Arusha , mkinifahamisha pia gharama nitashukuru , fog lights za round ( HID bulbs)
Nimefunga fog lights za round pale mitaa yetu ya Gerezani Kariakoo bei yake kufunga ni tsh 10000 Tu..
Au nenda mitaa ya Lumumba utakutana na wafungaji kibao wa hizo fog
Taa zenyewe nilinunua tsh 25000 Kwa rafiki Yangu Kariakoo(huyu jamaa anaingiza mwenyewe mzigo kutoka China.
Lkn ukienda mitaa ya Lumumba na Livingstone utapigwa tsh 60000 - 75000.
Kwahiyo gharama za fundi ni tsh 10000 Tu
Njoo mtaa wa Kipata Kariakoo ukifika mtaa huo uliza planet pharmacy hapo utakuwa umeshafika kwakuwa hawa wauzaji wapo opposite na hiyo pharmacy (Duka lipo Kwa ndani Kwenye corridor)
Yes.....hiyo ni bei ufundi Tu tsh 10000Hiyo ni ufundi tu?
Asante bro. Nilifanikiwa kwenda. Nimefunga taa nyuma karibu na bonba la Exhaust (urembo tu haina maana yoyote, si unajua sisi vijana).
Gari yangu usiku kwa nyuma inamulika mwanga wa blue, unapiga kwa chini hivi. Safiiiiiii.
Nimechukua namba za majamaa pale, next week unaenda tena kuli-pimp zaidi gari langu. Nalipenda gari langu, japo ni babywoka.
Jamaa wananisifia eti "mwanangu unaitunza kweli gari yako, kama mpya vile..." Wangejua gharama nazoingia kuli-pimp gari mammae.
View attachment 1627359
View attachment 1627361
Namba za fundi ninazo Ila Mwarabu anayeuza fog lights sina...Nisaidie namba zao
Zote taa mbili nilinunua Kwa tsh 25000 mwaka jana75,000 per peace?
Wewe unaongelea 'STANDBY LIGHTS'' sio Fog lights.Fog light mkuu zina kazi ya kufanya gari lako lionekane na dereva anayekuja upande wako....yaani wewe ukione chombo vha mwenzako na mwenzako akione chombo chako..
Zinatakiwa ziwashwe wakati wa mchana kama kuna ukungu, mvua, vumbi au moshi unaotanda barabarani..
Nitoe mfano mrahisi siku ya jana asubuhi kwa sisi wa Arusha kulikuwa na hali ya ukungu mkali na mvua nyepesi, dereva huoni mbele zaidi ya mita 100 ....sasa huu ndiyo wakati muafaka wa kutumia fog light ili gari lako lionwe na madereva wengine...
Nchi kama Marekani ni sheria kuwasha fog light wakati wote, kama gari halina fog light unatakiwa uwashe Low beam light...kwa sababu wakianza kipindi cha ukungu na kudondoka kwa theluji, kipindi hiki hudumu kwa miezi kadhaa..
Nchini kwetu sheria hailazimishi kuwasha fog light mchana au kutokuwasha.......ndiyo maana usishangae mchana umewasha zako fog light, watu wqnakupigia miluzi weweee zima taa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ni Fog lights. Kwenye huu mfano nimetumia descovery 4 hiyo kama mfano.Fog light mkuu zina kazi ya kufanya gari lako lionekane na dereva anayekuja upande wako....yaani wewe ukione chombo vha mwenzako na mwenzako akione chombo chako..
Zinatakiwa ziwashwe wakati wa mchana kama kuna ukungu, mvua, vumbi au moshi unaotanda barabarani..
Nitoe mfano mrahisi siku ya jana asubuhi kwa sisi wa Arusha kulikuwa na hali ya ukungu mkali na mvua nyepesi, dereva huoni mbele zaidi ya mita 100 ....sasa huu ndiyo wakati muafaka wa kutumia fog light ili gari lako lionwe na madereva wengine...
Nchi kama Marekani ni sheria kuwasha fog light wakati wote, kama gari halina fog light unatakiwa uwashe Low beam light...kwa sababu wakianza kipindi cha ukungu na kudondoka kwa theluji, kipindi hiki hudumu kwa miezi kadhaa..
Nchini kwetu sheria hailazimishi kuwasha fog light mchana au kutokuwasha.......ndiyo maana usishangae mchana umewasha zako fog light, watu wqnakupigia miluzi weweee zima taa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Fog lightFog light mkuu zina kazi ya kufanya gari lako lionekane na dereva anayekuja upande wako....yaani wewe ukione chombo vha mwenzako na mwenzako akione chombo chako..
Zinatakiwa ziwashwe wakati wa mchana kama kuna ukungu, mvua, vumbi au moshi unaotanda barabarani..
Nitoe mfano mrahisi siku ya jana asubuhi kwa sisi wa Arusha kulikuwa na hali ya ukungu mkali na mvua nyepesi, dereva huoni mbele zaidi ya mita 100 ....sasa huu ndiyo wakati muafaka wa kutumia fog light ili gari lako lionwe na madereva wengine...
Nchi kama Marekani ni sheria kuwasha fog light wakati wote, kama gari halina fog light unatakiwa uwashe Low beam light...kwa sababu wakianza kipindi cha ukungu na kudondoka kwa theluji, kipindi hiki hudumu kwa miezi kadhaa..
Nchini kwetu sheria hailazimishi kuwasha fog light mchana au kutokuwasha.......ndiyo maana usishangae mchana umewasha zako fog light, watu wqnakupigia miluzi weweee zima taa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ndio Standby au Parking lightsFog light mkuu zina kazi ya kufanya gari lako lionekane na dereva anayekuja upande wako....yaani wewe ukione chombo vha mwenzako na mwenzako akione chombo chako..
Zinatakiwa ziwashwe wakati wa mchana kama kuna ukungu, mvua, vumbi au moshi unaotanda barabarani..
Nitoe mfano mrahisi siku ya jana asubuhi kwa sisi wa Arusha kulikuwa na hali ya ukungu mkali na mvua nyepesi, dereva huoni mbele zaidi ya mita 100 ....sasa huu ndiyo wakati muafaka wa kutumia fog light ili gari lako lionwe na madereva wengine...
Nchi kama Marekani ni sheria kuwasha fog light wakati wote, kama gari halina fog light unatakiwa uwashe Low beam light...kwa sababu wakianza kipindi cha ukungu na kudondoka kwa theluji, kipindi hiki hudumu kwa miezi kadhaa..
Nchini kwetu sheria hailazimishi kuwasha fog light mchana au kutokuwasha.......ndiyo maana usishangae mchana umewasha zako fog light, watu wqnakupigia miluzi weweee zima taa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Standby au Parking lightsFog light mkuu zina kazi ya kufanya gari lako lionekane na dereva anayekuja upande wako....yaani wewe ukione chombo vha mwenzako na mwenzako akione chombo chako..
Zinatakiwa ziwashwe wakati wa mchana kama kuna ukungu, mvua, vumbi au moshi unaotanda barabarani..
Nitoe mfano mrahisi siku ya jana asubuhi kwa sisi wa Arusha kulikuwa na hali ya ukungu mkali na mvua nyepesi, dereva huoni mbele zaidi ya mita 100 ....sasa huu ndiyo wakati muafaka wa kutumia fog light ili gari lako lionwe na madereva wengine...
Nchi kama Marekani ni sheria kuwasha fog light wakati wote, kama gari halina fog light unatakiwa uwashe Low beam light...kwa sababu wakianza kipindi cha ukungu na kudondoka kwa theluji, kipindi hiki hudumu kwa miezi kadhaa..
Nchini kwetu sheria hailazimishi kuwasha fog light mchana au kutokuwasha.......ndiyo maana usishangae mchana umewasha zako fog light, watu wqnakupigia miluzi weweee zima taa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wa Mbuguni hawajui kazi yake, hebu tuwaeleze, ni taa kwa ajili ya UkunguFog light kazi yake nini?
Faida yake ni mataa taa mengi kwenye gari kama jini.Fog light kazi yake nini?