sh ngapNinae
anapatikana wapiNenda kwa ki2pe
Sijui kwanini nimemkumbuka FUNDI MAIKOWadau habari za leo,
Natafuta fundi wa kunishonea Kaunda suti. Itapendeza zaidi kama atapatikana kwenye mojawapo ya mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma au Morogoro.
Nitashukuru sana kama nitapata mawasiliano yake.
Wasalaam,
Mwenzetu
Ungekuwa Mwanza ningekwambaia kamuone Manju MsitaWadau habari za leo,
Natafuta fundi wa kunishonea Kaunda suti. Itapendeza zaidi kama atapatikana kwenye mojawapo ya mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma au Morogoro.
Nitashukuru sana kama nitapata mawasiliano yake.
Wasalaam,
Mwenzetu
Dar, mcheck Instagram @ki2peanapatikana wapi
Wadau habari za leo,
Natafuta fundi wa kunishonea Kaunda suti. Itapendeza zaidi kama atapatikana kwenye mojawapo ya mikoa ya Dar es Salaam, Dodoma au Morogoro.
Nitashukuru sana kama nitapata mawasiliano yake.
Wasalaam,
Mwenzetu
Ndy mambo yao haya ya kaunda suti.TISS buanaa