Natafuta fundi mzuri wa LG G4 smartphone

mikongotiamani

New Member
Jan 18, 2012
2
1
Salaam,
Naomba kujua fundi mzuri wa LG nina simu yangu aina ya LG G4 ilianza tatizo la kuzima ghafla na kuchukua mda mrefu kuwaka.

Ikiwaka ukiingia kwenye programu yoyote inazima tena na kuchukua mda mrefu sana.

Nikaipeleka kwa mafundi simu wale waliopo IPS Building sasa wamehamia jengo opposite na IPS Building, wakaiflash, sasahivi inachukua mda mrefu zaidi kuwaka kuliko awali na tangu jana imegoma kuwaka kabisa. Sijui tatizo ni nini. Msaada tafadhalini
 
Tatizo hilo ni la kawaida sana LG g4 na humu ndani nimesema sana watu wasinunue hiyo simu. Chakufanya kama hauna data za maana kwenye simu yako tafuta fundi akuaguzie motherboard mpya wakuwekee na hiyo motherboard mpya itakaa miezi michache na itakuaribikia pia.
 
Tatizo hilo ni la kawaida sana LG g4 na humu ndani nimesema sana watu wasinunue hiyo simu. Chakufanya kama hauna data za maana kwenye simu yako tafuta fundi akuaguzie motherboard mpya wakuwekee na hiyo motherboard mpya itakaa miezi michache na itakuaribikia pia.
Kama tatizo ni la kawaida sana kwa nini watu wasinunue simu hiyo?

Kama hata baada ya kubadili motherboard simu itaharibika tena, kwa nini aagize motherboard?
 
Kama tatizo ninla kawaida sana kwa nini watu wasinunue simu hiyo?

Kama hata baada ya kubadili motherboard simu itaharibika tena, kwa nini aagize motherboard?
Nimekosea kidogo hapo akibadili motherboard kuna 50/50 percent chance la tatizo kurudi maana ukisoma forum kuna users wengine zinapona na wengine kwa bahati mbaya motherboard mpya wanapata batch ile ile ya motherboard zenye shida so tatizo linarudi.

Kwaiyo ni bahati tu ya jamaa mimi ningekuwa yeye ninge badili motherboard na kuiuza tu kwa mtu.

LG finally acknowledges G4 boot loop problem – and it's offering a fix | TechRadar
 
Nimekosea kidogo hapo akibadili motherboard kuna 50/50 percent chance la tatizo kurudi maana ukisoma forum kuna users wengine zinapona na wengine kwa bahati mbaya motherboard mpya wanapata batch ile ile ya motherboard zenye shida so tatizo linarudi.

Kwaiyo ni bahati tu ya jamaa mimi ningekuwa yeye ninge badili motherboard na kuiuza tu kwa mtu.

LG finally acknowledges G4 boot loop problem – and it's offering a fix | TechRadar
Unapoiuza kwa mtu unamueleza kamari anayocheza au unampiga tu?
 
Unapoiuza kwa mtu unamueleza kamari anayocheza au unampiga tu?
Kariakoo, eBay hizi simu Mbona zipo nyingi wanaziuza na hauambiwi kama zina shida hii.

Inadepend na roho ya jamaa tu. Ndio ujue kununua simu used au refurbished ni kamali
 
Kariakoo, eBay hizi simu Mbona zipo nyingi wanaziuza na hauambiwi kama zina shida hii.

Inadepend na roho ya jamaa tu. Ndio ujue kununua simu used au refurbished ni kamali
Nimekuuliza wewe. Utamwambia unayemuuzia matatizo yake?
 
Ahh mimi nitamueleza.. Maana nikipata hela kwa Njia isiyo halali lazima mwisho wa siku itanitokea puani.
 
Back
Top Bottom