moe junior
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 894
- 854
Habari zenu wakuu! Nina machine Yangu ya kukamua miwa kwa ajili ya juice. Nina mambo mawili nataka kuifanyia
1) Inakula sana umeme kiasi kwamba inakuwa sio rafiki kibiashara
2) Nataka kurekebisha bodi lake liwe zuri kwa sababu lililopo linapiga kelele kiasi flan.
Kama kuna mtaalamu wa hizi mashine naomba ajitokeze tugawane rizki.
1) Inakula sana umeme kiasi kwamba inakuwa sio rafiki kibiashara
2) Nataka kurekebisha bodi lake liwe zuri kwa sababu lililopo linapiga kelele kiasi flan.
Kama kuna mtaalamu wa hizi mashine naomba ajitokeze tugawane rizki.