Andre-Pierre
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 324
- 1,188
Wakuu wa jukwaa,
Natafuta friji nina laki 6, ila sijajua kampuni ipi ni nzuri kwa bajeti yangu hiyo hapo juu?
Pia naombeni mambo ya kuzingatia kwenye ili nipate friji nzuri itakayodumu maana uchumi huu wa awamu ya 5 pesa imekuwa ngumu. Naombeni ushauri wenu
Natafuta friji nina laki 6, ila sijajua kampuni ipi ni nzuri kwa bajeti yangu hiyo hapo juu?
Pia naombeni mambo ya kuzingatia kwenye ili nipate friji nzuri itakayodumu maana uchumi huu wa awamu ya 5 pesa imekuwa ngumu. Naombeni ushauri wenu