Idrisa1510
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 252
- 350
Kama kichwa cha habari kinavyojieleleza. Natafuta frame kwa ajili ya kuanzisha SALOON ya KIUME. Frame iwe dar es salaam na iwe maeneo yaliyochangamka zaidi kama barabarani au mitaa yenye watu wengi.
Offer yangu ni Tsh 50,000 kwa mwezi na nitakua tayali kulipia kwa miezi tutakayo kubaliana. Mwenye frame au kama utakua na connection na mtu mwenye nayo naomba uni PM au Whatsapp Tu Kwa namba hii 0743534388.
NB:- Usipige kwa namba hiyo maana haiko hewani, inapatikana kwa Whatsapp tu.
Tangazo litakua valid mpaka ifikapo tarehe 12
Sent using Jamii Forums mobile app
Offer yangu ni Tsh 50,000 kwa mwezi na nitakua tayali kulipia kwa miezi tutakayo kubaliana. Mwenye frame au kama utakua na connection na mtu mwenye nayo naomba uni PM au Whatsapp Tu Kwa namba hii 0743534388.
NB:- Usipige kwa namba hiyo maana haiko hewani, inapatikana kwa Whatsapp tu.
Tangazo litakua valid mpaka ifikapo tarehe 12
Sent using Jamii Forums mobile app