Salaam wana JF! Mimi ni mwanafunzi wa chuo cha usimamizi wa fedha, nasoma shahada ya uhasibu mwaka wa pili, natafuta sehemu ya kufanyia field! Nimekwisha peleka barua sehemu zaidi ya sita lakini kote majibu yanakuwa ndivyo sivyo! Naombeni msaada wenu kwa yeyote anayeweza kunisaidia...NTASHUKURU SANA!