NATAFUTA FAMILIA YA MWALIMU WANGU.

wakumwaga

JF-Expert Member
Sep 7, 2018
579
422
Mimi naitafuta familia ya mwalimu wangu aliyekua akiitwa Peter mbeu magesa alifariki mwaka 2008 akiwa ni mwalimu shule moja huku babati manyara ,na kwenda kuzikwa kwao Musoma vijijini. Na baada ya mazishi ile familia haikurudi tena babati .nimeitafuta familia yake yaan mke wake,watot wake muda mrefu walau niwajulie hali zao paspo mafanikio .kama kuna mtu anaijua hii familia au mwenye taarifa nayo naomba ani pm tafadhali Sana.
 
Mimi naitafuta familia ya mwalimu wangu aliyekua akiitwa Peter mbeu magesa alifariki mwaka 2008 akiwa ni mwalimu shule moja huku babati manyara ,na kwenda kuzikwa kwao Musoma vijijini. Na baada ya mazishi ile familia haikurudi tena babati .nimeitafuta familia yake yaan mke wake,watot wake muda mrefu walau niwajulie hali zao paspo mafanikio .kama kuna mtu anaijua hii familia au mwenye taarifa nayo naomba ani pm tafadhali Sana.
Nyoosha maneno.................
 
Mimi naitafuta familia ya mwalimu wangu aliyekua akiitwa Peter mbeu magesa alifariki mwaka 2008 akiwa ni mwalimu shule moja huku babati manyara ,na kwenda kuzikwa kwao Musoma vijijini. Na baada ya mazishi ile familia haikurudi tena babati .nimeitafuta familia yake yaan mke wake,watot wake muda mrefu walau niwajulie hali zao paspo mafanikio .kama kuna mtu anaijua hii familia au mwenye taarifa nayo naomba ani pm tafadhali Sana.
Aisee h....ni.. primary school
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom