The Giant
JF-Expert Member
- Jun 24, 2012
- 504
- 96
Wakuu nimejichanga kidgo niweze kupata hela ya kula huku nakusanya mtaji kwa ajili ya kikubwa zaidi.
Ni biashara ya kukaanga na kuuza chipsi barabarani. Kuna dogo nimempata kwa ajili ya kunisaidia. Nimetafuta maeneo ya Zackeim, Ranging 3 na Kongowe ila naambiwa migambo wanawakimbiza na kuvunja meza zao.
Sasa, nilikuwa naomba Kama unaweza pata eneo lililotulia nilipie ili dogo aanze kazi. Na utaratibu wa kupata eneo ukoje.
Maeneo lengwa ni Temeke hadi Mbagala.
Asante.
Ni biashara ya kukaanga na kuuza chipsi barabarani. Kuna dogo nimempata kwa ajili ya kunisaidia. Nimetafuta maeneo ya Zackeim, Ranging 3 na Kongowe ila naambiwa migambo wanawakimbiza na kuvunja meza zao.
Sasa, nilikuwa naomba Kama unaweza pata eneo lililotulia nilipie ili dogo aanze kazi. Na utaratibu wa kupata eneo ukoje.
Maeneo lengwa ni Temeke hadi Mbagala.
Asante.