Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,402
- 58,943
mimi binafsi nna mwaka wa 3 nasumbuliwa na anxiety disorder
wakati inanianza ilinisumbua miezi mi3 nilitaka kuwa chizi. kama isingekua jf
nilikata tamaa kabisa
anxiety ilnifanya nikaona maisha machungu nikajutengenezea ugonjwa ukanisumbua mwezi mzima.
lakini wakati wote sikujua nn hasa kinanisumbua
nilijichunguza mpaka nikaja kujua chanzo ni anxiety na imeketwa na hormone imbalance nilionayo.
mkuu hata sasa inanitokea sometimes ila kwa 30% na katika muda inanitokea haiwezi kudumu kutwa nzima kwasababu nimeshajitambua ni jinsi ya kuovercome hio hali.
ila ilifika mahali mpaka pa kutaka kunywa dawa.
naogopa mpaka binadamu wenzangu.
woga na wasiwasi ulipitiliza nikawa hata mm mwenyewe sijiamini.
Ndugu zangu wanaamini nililogwa, mm naamini ilikua wasiwasi.. na tangu hapo siaminigi katika kulogwa maana niliweza kujicontrol mm mwenyewe hata sasa.
mkuu jikaze ,jutambue let things chukulia kitu chakawaida kushatukumba wengi sana. ni tatizo la saikolojia tu litaisha kazana kutafuta thread zitakazokupa muongozo humu.
Bwana awe nawe sana