Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,401
Hadi avatar yako ina wasiwasi!
Wala ha uhitaji dawa...ni tatizo tu la kawaida sana kwa wanadamu kulingana na changamoto mbali mbali anakabiliana nazo!!!!.....
Mimi nilikabiliana na tatizo hilo kwa kusafiri sehemu ambayo sijawahi hata kufika na nilikaa huko kwa muda wa wiki mbili....ule upya wa mazingira na watu....ukaifanya akili yangu kuwa mpya na yenye mawazo mapya!!......
Jambo lingine la msingi
Don’t take people and things too seriously!!!.....
Lower your expectations towards people and things!!!......
Usipende kuweka vitu moyoni huko ni kujibebesha mzigo mzito.....ongea na watu kuhusu matatizo yako...bila kujali watakuchukuliaje kwani kati yao utapata mfariji wako.....
Wasiwasi ndio akili mkuu..
Tuonane PMNaitumia kwa dose gani na kwa mda gani?
Seriously can't advice...niliponea tundu la sindano kuingia kwende drugs kwa ajili ya diazepamDiazepam pill can push you
Ooh..... can't tell me!Seriously can't advice...niliponea tundu la sindano kuingia kwende drugs kwa ajili ya diazepam
Trust me...unaanza na moja...but finally without 3 you can't sleepOoh..... can't tell me!
Basi dawa ya asili iliyokuu kwa matatizo yanayomzunguka binadamu ni kujisalimisha kikamilfu kwa Bwana Yesu.Trust me...unaanza na moja...but finally without 3 you can't sleep
Otherwise a small amount of marijuana to cure depression n uncertainty behavior associated with endeles fear...!!!Basi dawa ya asili iliyokuu kwa matatizo yanayomzunguka binadamu ni kujisalimisha kikamilfu kwa Bwana Yesu.
Mrudie muumba wako, fanya ibaada na yafurahie maisha katika hali yoyote ile uliyo.
Just relax. Nenda beach nkWakuu habari za mchana, kama nlivyoandika hapo juu natafuta tiba za asili muafaka za kutibu wasiwasi , je zinapatikana wapi?
Usije kujaribu dawa za antideppresant utakuwa dependent wa hayo makituu..Wakuu habari za mchana, kama nlivyoandika hapo juu natafuta tiba za asili muafaka za kutibu wasiwasi , je zinapatikana wapi?
Alafu ni vyema utumie iliyo quality maana ukitumia makushabu hupunguza uwezo wa kukumbukantaipataje bangi? na bangi sio addictive?
kila kitu kikizidi kina madhara mkuuWasiwasi ndio akili mkuu..