Ivilikinge
Member
- Jun 15, 2009
- 29
- 1
Habari wana jamii forum mimi natafuta daktari bingwa hapa dar wa magonjwa ya zinaa maana naumwa sana na nimetibiwa siponi nimepima kila kitu mpaka ngoma sasa naona labda nianze na dr mpya na ujuzi mpya naombeni msaada gharama sio shida ntalipa
email yangu:bulongwa@yahoo.com
email yangu:bulongwa@yahoo.com