Kwani UDOM hakuna kozi za kilimo...?Degree
Ok.. fresh mkuuSijajua ngoja ntaangalia
Kutafuta chuo cha kilimo ngazi ya degree tofauti na Sua ni sawa na kutafuta meli inayotembea sehemu nyingine mbali na majini!
Unatafuta elimu nyepesi bila shaka na matokeo yake utakuwa weaker on job competetionAmani iwe nanyi.
Naomba kuuliza vyuo ama chuo kinachotoa course ya kilimo tofauti na SUA,
Inategemea unasima kilimo kwenye nyanja ganiKutafuta chuo cha kilimo ngazi ya degree tofauti na Sua ni sawa na kutafuta meli inayotembea sehemu nyingine mbali na majini!
Kwa level ya degree wewe SUA inakuita kama kweli unapenda kusoma kilimo ingawa UDSM wana course (program) chache za kilimo google College of Agricultural Sciences and Fisheries Technology UDSM. By the way kwa nini unatafuta chuo ambacho ni tofauti na SUA?Degree
Unaweza kunisaidia chuo kinachotoa certificate ya kilimo mkuuUnataka usome Certificate, Diploma au bachelor Degree
Uyole, kataviUnaweza kunisaidia chuo kinachotoa certificate ya kilimo mkuu
Nenda Uyole-Mbeya, Ilonga-Kilosa na hapa Dar kuna CANRE kipo fresh mkuuUnaweza kunisaidia chuo kinachotoa certificate ya kilimo mkuu
Katavi kuna chuo cha kilimo mkuu.. ?Uyole, katavi