wadau mambo vp?? Kama kuna mdau yoyote anaeweza kunisaidia hapo kuhusu chumba hicho tafadhali anisaidie,,, mimi ni mwanafunzi wa uclas, naomba kama kuna mwenye chumba kizuri self contained chenye maji na umeme, natanguliza shukrani za dhati
Mkuu, chumba kizuri self contained chenye maji utapata, hofu yangu iko hapo kwenye red (hii bidhaa imekuwa adimu sana hapa bongo)!! Sikukatishi tamaa ila waweza kuwaulizia madalali, ingawa shughuli yao ni pevu! HINT: Pale DDC MLIMANI, jana niliona kuna kibao (tangazo) lisemalo kuwa madalali wa nyumba, vyumba, n.k. wanapatikana hapo! Nenda kawaone watakupa mpango mzima. Ukifanikiwa usisahau kurudisha senks!
wadau mambo vp?? Kama kuna mdau yoyote anaeweza kunisaidia hapo kuhusu chumba hicho tafadhali anisaidie,,, mimi ni mwanafunzi wa uclas, naomba kama kuna mwenye chumba kizuri self contained chenye maji na umeme, natanguliza shukrani za dhati