natafuta chumba self maeneo ya sinza ya mlimani city, kwa kakobe au savei

utukufu

Member
May 31, 2011
34
20
wadau mambo vp?? Kama kuna mdau yoyote anaeweza kunisaidia hapo kuhusu chumba hicho tafadhali anisaidie,,, mimi ni mwanafunzi wa uclas, naomba kama kuna mwenye chumba kizuri self contained chenye maji na umeme, natanguliza shukrani za dhati
 
wadau mambo vp?? Kama kuna mdau yoyote anaeweza kunisaidia hapo kuhusu chumba hicho tafadhali anisaidie,,, mimi ni mwanafunzi wa uclas, naomba kama kuna mwenye chumba kizuri self contained chenye maji na umeme, natanguliza shukrani za dhati

Mkuu, chumba kizuri self contained chenye maji utapata, hofu yangu iko hapo kwenye red (hii bidhaa imekuwa adimu sana hapa bongo)!! Sikukatishi tamaa ila waweza kuwaulizia madalali, ingawa shughuli yao ni pevu! HINT: Pale DDC MLIMANI, jana niliona kuna kibao (tangazo) lisemalo kuwa madalali wa nyumba, vyumba, n.k. wanapatikana hapo! Nenda kawaone watakupa mpango mzima. Ukifanikiwa usisahau kurudisha senks!
 
Mkuu, chumba kizuri self contained chenye maji utapata, hofu yangu iko hapo kwenye red (hii bidhaa imekuwa adimu sana hapa bongo)!! Sikukatishi tamaa ila waweza kuwaulizia madalali, ingawa shughuli yao ni pevu! HINT: Pale DDC MLIMANI, jana niliona kuna kibao (tangazo) lisemalo kuwa madalali wa nyumba, vyumba, n.k. wanapatikana hapo! Nenda kawaone watakupa mpango mzima. Ukifanikiwa usisahau kurudisha senks!

kabla ya yote hata kukipata natanguliza senks zangu za dhati mkuu,,,,ntafuatilia hizo namba za simu hapo jioni hii ni jiaribu kuona ntafikishana nao wapi,,,,, kuhusu ilo swala la umeme mkuu, umeongez point sana,, ila kuna line moja ya savei inayoenda mpaka chuo kikuu, huwa haina mgao,, ningepata chumba maeneo hayo ningefurahi sana
 
wadau mambo vp?? Kama kuna mdau yoyote anaeweza kunisaidia hapo kuhusu chumba hicho tafadhali anisaidie,,, mimi ni mwanafunzi wa uclas, naomba kama kuna mwenye chumba kizuri self contained chenye maji na umeme, natanguliza shukrani za dhati

mkuu,am in search of the same, ukipata usisite kunijulisha ili nifuatilie.,SENKSI.!!
 
Back
Top Bottom