Moyess
JF-Expert Member
- Apr 17, 2016
- 953
- 1,191
- Thread starter
- #81
Ukipata Self Modeko, nenda kaishi huko. Nilipapenda kwa kuwa hakuna shida ya Maji na umeme. Niliishi miaka 2 bila shida.
But, usipelekwe Chamwino, Mafiga na uswahilini. Utajuta.
Forest kwa bajeti yako hiyo hupawezi. Tafuta dalali akusaidie
Thanks mkuu huko modeko ndio pawe kipaumbele kwani ni mbali na mjini ??