Mimi ni mfanyakazi wa kampun flan hapa Sinza-Lion, kwa hiyo natafuta chumba kimoja cha kuishi maeneo karibu na kazini kwangu. Kwa hiyo wapangishaji wa vyumba au yeyote atakayeweza kunifanikishia hilo ajitokeze.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.