bishoke
JF-Expert Member
- Jan 12, 2010
- 274
- 52
Wana JF naomba msaada. Nina tafuta chumba kimoja self au chumba na sebule kwa ajili ya familia ya mtu mmoja. Eneo lolote isipokuwa mbezi ya morogoro roadd. Ni vizuri kama nyumba ina uzio na gari linafika. Bajeti yangu ni kama 120,000 hivi. Asanteni sana kwa kunijali. Tafadhali nijulishe kupiatia simu yangu 0784 398 893.