Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,859
- 763
Wandugu naomba mnisaidie mawazo....natafuta metal scrappers hapa nchini kwa ajili ya serious export business...any kind kama vile mataruma ya reli,meli chakavu,magari au vifaa chakavu vya kijeshi nk...naomba yeyote mwenye idea ani pm......Biashara hii niliifanya miaka mingi iliyopita (about 10yrs)..kwa sasa sijui hali ikoje....commission iko kama kawaida........nawasilisha kwa nia njema