jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,128
- 8,648
Habari,
Leo ningependa kwenda moja kwa moja kwenye mada ni kwamba unapotaka kufikia mafanikio basi fanya kazi kwa bidii lakini kama ukitaka mafanikio makubwa zaidi basi inakupasa kushirikiana na wengine na kufanya kazi kama team.
Mimi ki upande wangu ninajihusisha na uuzaji wa magari used ambayo yametumika ndani ya Tanzania,Biashara hii kiukweli inasaidia kupata chochote kitu na inafanywa na wengi lakini wengi wanaifanya locally kiasi kinachopelekea wengi tupate hela ya kula tu wakati ikifanywa ki utaalam inaweza kuingiza kipata kizuri kwani uhitaji ni mkubwa na wanaohitaji ni wengi
Team ninayoitaka
1.Vijana wawili wenye uwezo wa masuala ya IT hasa websites/na graphics kwa ajili ya uandaaji na shughuli za IT
2,vijana wawili ambao watakuwa kwenye upande wa marketing hawa watakuwa wanahusika zaidi.
NB: Siangalii jinsia au umri wa mtu bali ninachoangalia ni uaminifu sababu ndo silaha ya biashara hii pia commitment ya kazi.
MALENGO YA TEAM
Malengo makubwa ya kutaka kuundwa kwa Team hii ni kuhakikisha kuwa tunakuwa tunafungua ofisi na kampuni ambayo itakuwa inauza magari yenye ubora yaliyotumika Tanzania pia iwe ni kampuni ambayo itaongoza kwenye uuzaji wa magari hata kutoka nje.
Malengo ya awali
Kufungua blog
kufungua application
kufungua ofisi
kujisajili
kujitangaza
Pia unaweza kuwa umelipenda wazo langu na una uwezo wa kuwekeza fedha yako kwa mkataba maalum tunaweza kuonana na nikafanya kazi chini yako,huku kampuni ikiwa chini yako kulingana na mkataba tutaokubaliana kumbuka mpka sasa hakuna kampuni hata moja inayohusika na uuzaji wa magari used ndani ya Tanzania japo kuna demand kubwa sana ya magari used.
kwa maswali unaweza kuniuliza na kwa wale watakaopenda kuungana nami ili tuwe partners mna karibishwa pm kwa kujieleza unafit vip kama ukichaguliwa
cha mwisho kwa wale wataokuwa tayari ni kwamba tutachangia gharama sawa na kuwa na profit share sawa
karibuni
Leo ningependa kwenda moja kwa moja kwenye mada ni kwamba unapotaka kufikia mafanikio basi fanya kazi kwa bidii lakini kama ukitaka mafanikio makubwa zaidi basi inakupasa kushirikiana na wengine na kufanya kazi kama team.
Mimi ki upande wangu ninajihusisha na uuzaji wa magari used ambayo yametumika ndani ya Tanzania,Biashara hii kiukweli inasaidia kupata chochote kitu na inafanywa na wengi lakini wengi wanaifanya locally kiasi kinachopelekea wengi tupate hela ya kula tu wakati ikifanywa ki utaalam inaweza kuingiza kipata kizuri kwani uhitaji ni mkubwa na wanaohitaji ni wengi
Team ninayoitaka
1.Vijana wawili wenye uwezo wa masuala ya IT hasa websites/na graphics kwa ajili ya uandaaji na shughuli za IT
2,vijana wawili ambao watakuwa kwenye upande wa marketing hawa watakuwa wanahusika zaidi.
NB: Siangalii jinsia au umri wa mtu bali ninachoangalia ni uaminifu sababu ndo silaha ya biashara hii pia commitment ya kazi.
MALENGO YA TEAM
Malengo makubwa ya kutaka kuundwa kwa Team hii ni kuhakikisha kuwa tunakuwa tunafungua ofisi na kampuni ambayo itakuwa inauza magari yenye ubora yaliyotumika Tanzania pia iwe ni kampuni ambayo itaongoza kwenye uuzaji wa magari hata kutoka nje.
Malengo ya awali
Kufungua blog
kufungua application
kufungua ofisi
kujisajili
kujitangaza
Pia unaweza kuwa umelipenda wazo langu na una uwezo wa kuwekeza fedha yako kwa mkataba maalum tunaweza kuonana na nikafanya kazi chini yako,huku kampuni ikiwa chini yako kulingana na mkataba tutaokubaliana kumbuka mpka sasa hakuna kampuni hata moja inayohusika na uuzaji wa magari used ndani ya Tanzania japo kuna demand kubwa sana ya magari used.
kwa maswali unaweza kuniuliza na kwa wale watakaopenda kuungana nami ili tuwe partners mna karibishwa pm kwa kujieleza unafit vip kama ukichaguliwa
cha mwisho kwa wale wataokuwa tayari ni kwamba tutachangia gharama sawa na kuwa na profit share sawa
karibuni