N nevil2022 New Member May 25, 2022 1 0 May 27, 2022 #1 Hello Anahitajika binti mwenye cheti cha ADDO au certificate ya pharmacy Eneo la kazi ni Wilaya ya Songwe Shahara ni Tsh. 200,000/- kwa mwezi Atapata makazi ya kuishi, akiwa mkazi wa Mbeya ni sifa ya nyongeza Karibuni Pm
Hello Anahitajika binti mwenye cheti cha ADDO au certificate ya pharmacy Eneo la kazi ni Wilaya ya Songwe Shahara ni Tsh. 200,000/- kwa mwezi Atapata makazi ya kuishi, akiwa mkazi wa Mbeya ni sifa ya nyongeza Karibuni Pm