Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,600
- 4,266
Umemjibu vizuri ila inshallah haimaanishi asante... Maana yake ni mungu akipendaHakunaga neno la kiislam hilo ni neno la kiarabu likiwa na maana asante yapo meng kama marahaba mujarab mashalaaah na nk kiarabu ni lugha kama lugha zingine tu kiarabu sio kiislamu