Frank255Fx
Member
- Jul 25, 2019
- 27
- 9
- Thread starter
- #21
Asante kwa ushauri :
Hivi kweli upo siriaz na maisha wewe kijana kwann usiseme unatafuta demu Wa kumdinya.
Kwanza unataka binti kukutoa stress na upweke alafu huyo huyo binti ndani yake awe anajielewa pia kichwani awe vzuri kama wewe,mwisho huo umri ambao umeutaja hapo chini 19-25.
Yan kabinti ka watu kaje kukufanyia mambo yote kama umeoa alafu siku stress zako zikiisha utamfanyaje?
Ushauri wangu kama mazingira ambayo yamekuzunguka umekosa binti mwenye sifa hzo naimani ata humu JF hawapo pia.
Nenda kaweke Bandiko lako Facebook utapata vibinti maana humu kuna mabibi wamama mashangazi na Madada zako.