Frank255Fx
Member
- Jul 25, 2019
- 27
- 9
H
Kwanza una hela? Sio kuchosha wadada wa watu. Hela kwanza mengine yote utazidishiwa
ukipata wawili nipasie mmoja
Hehe-Hela nilizonazo ni zangu sio za huyo ninayemtafuta
Hata genye ni zako mkuu baki nazo. Mahusiano na pesa are synonymous
Huko mtaani kwako hakuna wasichana,unakosoma au kufanya kazi au unakosali mpaka uje kuhangaika huku ns wasichana ambao huwajui wala hujawahi kuwaona?,Dogo sometime kua serious basiNdugu zangu habari zenu?
Maisha ya usingle ni mabaya sana unakuwa mpweke na stressed sana ,Naomba ajitokeze binti mmoja mrembo anayejielewa awe amesoma yuko vizuri kichwani kama mimi tubadilishane mawazo awe na maika 19-25 ,Nadhani itakuwa mwanzo mzuri wa sisi kufahamiana na kutengeneza kitu ..
Hii ni serious sihitaji negative comments!
Natanguliza shukrani
Atakae leta negative comment kama mimi utamfanyaje?Ndugu zangu habari zenu?
Maisha ya usingle ni mabaya sana unakuwa mpweke na stressed sana ,Naomba ajitokeze binti mmoja mrembo anayejielewa awe amesoma yuko vizuri kichwani kama mimi tubadilishane mawazo awe na maika 19-25 ,Nadhani itakuwa mwanzo mzuri wa sisi kufahamiana na kutengeneza kitu ..
Hii ni serious sihitaji negative comments!
Natanguliza shukrani
ingekuwa ni mimi umeniambia ninge deal na wewe.Vipi wewe ni binti mrembo ? Mwenye sifa tajwa hapo juu ? Basi kama ndio jongea Pm usijali kuhusu fedha.
Huko mtaani kwako hakuna wasichana,unakosoma au kufanya kazi au unakosali mpaka uje kuhangaika huku ns wasichana ambao huwajui wala hujawahi kuwaona?,Dogo sometime kua serious basi
Oa hizo hela sasaHehe-Hela nilizonazo ni zangu sio za huyo ninayemtafuta
hahhahahahahahahhahaaa you nailed himHata genye ni zako mkuu baki nazo. Mahusiano na pesa are synonymous
Vipi wewe ni binti mrembo ? Mwenye sifa tajwa hapo juu ? Basi kama ndio jongea Pm usijali kuhusu fedha.
Atakae leta negative comment kama mimi utamfanyaje?
ingekuwa ni mimi umeniambia ninge deal na wewe.
Tayari nina hela naweza kukutunza wewe na huyo umtafutae maana unatafuta kulelelewa tu. Kama hali ngumu sema washika dau tukuweke ndani