Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,066
- 4,085
Awe mkristo, mwenye ndoa ya kikristo, awe Dsm, siku ya harusi ni tarehe 22.10.2011.
Asanteni
Asanteni
Awe mkristo, mwenye ndoa ya kikristo, awe Dsm, siku ya harusi ni tarehe 22.10.2011.
Asanteni
Mi ya kwangu mwezi wa 11, naomba uwe best man wangu
Awe mkristo, mwenye ndoa ya kikristo, awe Dsm, siku ya harusi ni tarehe 22.10.2011.
Asanteni
Best man anatakiwa kuwa analingana na wewe kwa umbo na urefu, ikibidi hata tabia zenu zifanane. Na hata hujasema una umri gani ili tabia zenu zifanane kwa sababu best man ni tofauti na mshenga.
wewe ni wa kipekee, hapa kila siku watu wanatafuta wachumba, tena wengine bila aibu utasikia akisema natafuta mchumba mgumba aliyetalakiwa kwa kuto zaa.
Mungu akujalie na kukubariki, umpate bestman ambaye akiona mkeo amekaa kihasara atayafumba macho yake na kuanza kukemea, ili bikini aliyoivaa mkeo igeuke kuwa bukta. Ma bestman wengi ni wavunja ndoa.
Nakutakia kila la kheri