Wakuu,
Natafuta eneno ambalo ni mita chache toka ufukweni. Sehemu ambayo nitaweza kujenga nyumba ya makazi.
Budget yangu ni kati ya Milioni 12 mpaka milioni 30. Hii itategemea na sehemu.
Unaweza nicheki inbox kama una eneno na upo serious kuuza.
Nitalipa pesa kwa mkupuo pindi tutapo fanya makubaliano.
Asanteni.
Updated Sehemu yeyote Dar es salaam
Natafuta eneno ambalo ni mita chache toka ufukweni. Sehemu ambayo nitaweza kujenga nyumba ya makazi.
Budget yangu ni kati ya Milioni 12 mpaka milioni 30. Hii itategemea na sehemu.
Unaweza nicheki inbox kama una eneno na upo serious kuuza.
Nitalipa pesa kwa mkupuo pindi tutapo fanya makubaliano.
Asanteni.
Updated Sehemu yeyote Dar es salaam