Natafuta bajaji mpya TVS

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,107
18,323
Naomba kujua bei ya bajaji mpya TVS , mwenye nayo au kama kuna agent yoyote anaye uza bajaji naomba tuwasiliane.
 
Naomba kujua bei ya bajaji mpya TVS , mwenye nayo au kama kuna agent yoyote anaye uza bajaji naomba tuwasiliane.

Kama sikosei jamaa wanouza bajaji mpya wapo tandika dar es salaam, bahati mbaya sikumbuki ni mtaa gani. Unalipa nusu baada ya wiki unakamata kitu kipya.
 
Kama sikosei jamaa wanouza bajaji mpya wapo tandika dar es salaam, bahati mbaya sikumbuki ni mtaa gani. Unalipa nusu baada ya wiki unakamata kitu kipya.
Ukilipa nusu unaondoka na bajaji, au unalipa nusu unaenda kutafuta nyingine?

Naomba kama unajua bei ya bajaji TVS mpya nisaidie?
 
Naomba kujua bei ya bajaji mpya TVS , mwenye nayo au kama kuna agent yoyote anaye uza bajaji naomba tuwasiliane.
Ukienda pale pugu kuna agent mkubwa sana. Bei ziko hivi ukiagiza kwao ambavyo itakulazimu kusubiria kipindicha mwezi mmoja utalipa tsh million 6 na laki9. Ukienda pale mikocheni wanazo dukani watakuuzia million 7 mpaka 7 na laki mbili inategemea mazungumzo yenu ambayo utaipata ndani ya week moja with full registration. Hizi ni TVS. Hizo nyingíne unanunua kama unavyo nunua cm kariakooo hazina diri ila TVS ndio the best bajaji ziko poa sana
1467183748512.jpg
 
Ukienda pale pugu kuna agent mkubwa sana. Bei ziko hivi ukiagiza kwao ambavyo itakulazimu kusubiria kipindicha mwezi mmoja utalipa tsh million 6 na laki9. Ukienda pale mikocheni wanazo dukani watakuuzia million 7 mpaka 7 na laki mbili inategemea mazungumzo yenu ambayo utaipata ndani ya week moja with full registration. Hizi ni TVS. Hizo nyingíne unanunua kama unavyo nunua cm kariakooo hazina diri ila TVS ndio the best bajaji ziko poa sanaView attachment 361116
Huo mwezi mmoja kwani unaagiza kama gari?
 
Kama sikosei jamaa wanouza bajaji mpya wapo tandika dar es salaam, bahati mbaya sikumbuki ni mtaa gani. Unalipa nusu baada ya wiki unakamata kitu kipya.
nakusii ukishaipata unitafute niwe dereva wako please
 
Wakuu naomba kwa anaye jua hesabu ya suzuki carry kwa siku tajiri anapewa ngapi?
 
Huo mwezi mmoja kwani unaagiza kama gari?
Tvs ukiagiza kwa hawa jamaa wa pugu unapata punguzo la bei. Ila ukienda kuifuata dukani inakuwa na bei kubwa sana hata hivyo ni maduka machache sana wanaziuza na hata ukinunua siku hiyo hiyo hauwezi kupewa lazima usubiri week moja ndio wanakupa coz huwa zina kuwa mpya kwenye masanduku yake so kuifunga mpaka ikamilike na wakufanyie usajiri inachukua wiki moja
 
Tvs ukiagiza kwa hawa jamaa wa pugu unapata punguzo la bei. Ila ukienda kuifuata dukani inakuwa na bei kubwa sana hata hivyo ni maduka machache sana wanaziuza na hata ukinunua siku hiyo hiyo hauwezi kupewa lazima usubiri week moja ndio wanakupa coz huwa zina kuwa mpya kwenye masanduku yake so kuifunga mpaka ikamilike na wakufanyie usajiri inachukua wiki moja
Asante mkuu, pugu eneo gani?
 
Ukienda pale pugu kuna agent mkubwa sana. Bei ziko hivi ukiagiza kwao ambavyo itakulazimu kusubiria kipindicha mwezi mmoja utalipa tsh million 6 na laki9. Ukienda pale mikocheni wanazo dukani watakuuzia million 7 mpaka 7 na laki mbili inategemea mazungumzo yenu ambayo utaipata ndani ya week moja with full registration. Hizi ni TVS. Hizo nyingíne unanunua kama unavyo nunua cm kariakooo hazina diri ila TVS ndio the best bajaji ziko poa sanaView attachment 361116


Mkuu samahani, bajaji aina ya Pellegrin, kama sijakosea kuandika, Zina shida gani? na vp kama unanunua iliyotumika kwa miaka 2 ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom