Senior Boss
JF-Expert Member
- Aug 19, 2011
- 3,405
- 3,678
Habari Zenu Wakuu
Refer to the topic above.
Well nimekua nikisoma faida za aloe vera kwenye internet kwenye afya na mwili wa Binadam na jinsi inavyoweza fanya ngozi ya mtu kuwa nadhifu na yenye mng’ao asilia.
Nikawaza nikasema nikisema nitafute nichemshe majani yake na kunywa on small portions on a daily basis itakua usumbufu sana...na hilo zao nyumbani kwangu sina (sikutaka tafuta imported stuff cz nyingi fake na usanii mwingi)
Nikawaza kama kuna uwezekano wa kupata natural processed aloe vera powder nayoweza tumia kutengenezea kinywaji. i.e. kuchanganya na maji ya moto ikawa kama ndio chai yangu nikiwa mzigoni / home at the same tym gain the health benefits.
Ahsanteni.
Note:
Wale wa Kampuni za Network Marketing mnipitie mbali. Tusikwazane.
Refer to the topic above.
Well nimekua nikisoma faida za aloe vera kwenye internet kwenye afya na mwili wa Binadam na jinsi inavyoweza fanya ngozi ya mtu kuwa nadhifu na yenye mng’ao asilia.
Nikawaza nikasema nikisema nitafute nichemshe majani yake na kunywa on small portions on a daily basis itakua usumbufu sana...na hilo zao nyumbani kwangu sina (sikutaka tafuta imported stuff cz nyingi fake na usanii mwingi)
Nikawaza kama kuna uwezekano wa kupata natural processed aloe vera powder nayoweza tumia kutengenezea kinywaji. i.e. kuchanganya na maji ya moto ikawa kama ndio chai yangu nikiwa mzigoni / home at the same tym gain the health benefits.
Ahsanteni.
Note:
Wale wa Kampuni za Network Marketing mnipitie mbali. Tusikwazane.