nimesikia mara nyingi nchi za nje zinatuma maombi ya wakufunzi wa kiswahili hapa nchini,,mfano gabon,libya,botswana lakini sioni juhudi zozote zile za serikari kutusaidia sisi maexpert wa kiswahili......naomben msaaada wa mawazo watanzania wenzangu tufanye nini sisi wanakiswahili....nawasilisha