Kila la kheriNaishi dar es salama nimsichana mwenye miaka 25
Andika barua ya maombi ukiambatanisha na ya mdhamini,sambaza vituo vya Mafuta na supermarkets.Salama
Samahani ndugu zangu mwenye Connection ya ajira katika Sheli au super market naomba aniungnishe elimu yangu kidato cha nne
NashukuruAndika barua ya maombi ukiambatanisha na ya mdhamini,sambaza vituo vya Mafuta na supermarkets.
Wao wanapokuwa na uhitaji hurejea hizo barua na kuita Watu.
Sambaza hasa kwenye Petro stations mpya zinazomaliziwa kujengwa, MUNGU ni mwaminifu utapata.
Habari ndugu mi nipo tegeta kabisa ni kijana umri miaka 24kama uko DSM -
NAFASI SA KAZI.
1. Pump Attendants
2. Cleaner
Mahali kituo kilipo: Bunju B.
Uzoefu usioupungua mwaka mmoja.
Kipaumbele kwa wanaoishi Tegeta, Boko na Bunju.
Usaili unafanyika leo kuanzia saa 7 kamili mchana ofisi za Blue Recruits Limited Magomeni Mapipa, Mtaa wa msichoke.
Fika ukiwa na barua ya maombi pamoja na wasifu wako (CV).
Karibuni!!
Msaada zaidi njoo inbox nikupe namba