MIGUGO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,131
- 3,911
Mimi ni kijana naishi Dar es salaam.
Kutokana na kuwa na muda wa ziada kuanzia saa 12 jioni nimeona nijiongeze kwa kutafuta kibarua cha kuanzia mida hii hadi usiku.Mimi ni mwajiriwa huwa nafanya kazi asubuhi hadi jioni saa 10.Jumamosi na jumapili sina kazi.
Kutokana na kuwa na muda wa ziada kuanzia saa 12 jioni nimeona nijiongeze kwa kutafuta kibarua cha kuanzia mida hii hadi usiku.Mimi ni mwajiriwa huwa nafanya kazi asubuhi hadi jioni saa 10.Jumamosi na jumapili sina kazi.