Natafuta Ajira katika kampuni au taasisi yoyote

Mkuu mtoto wa kiume kuomba kazi JF ni kujidhalilisha na kupoteza muda humu wakware huwa wanawapa kazi watoto wa kike tu inasikitisha sana.
 
Wakuu habari.

Ninatafuta ajira ya muda au ya kudumu katika shirika/kampuni au taasisi yoyote iliyopo tanzania bara au zanzibar.

Nina Umri wa miaka 25.

Nina bachelor of business administration in procurement and logistics management.

Nina uziefu ufuatao;

warehouse management (6 month at Olam company as a volunteer)

Bank officer trainee (5 month at crdb bank as field attachment).

Accountant (3 month at Tanganyika education and consultancy centre as field attachment.

Marketing and customer service( crdb bank)

Sichagui kazi ivo ninaweza kufanya kazi katika mahoteli,clubs,restaurants, makampuni ya ulinzi,usafirishaji,na nyingine nyingi ambazo huenda sijataja.

Kwa yeyote mwenye uhitaji au anauwezo wa kuniunganisha na mtu mwenye uhitaji nitashukuru endapo atanisaidia.

Asanteni.
Kila la heri mkuu...japo uku ni kumaliza mb na kupoteza mdaa...jf kejel,matus,Kik ...kaz mpaka uwe wa kikee
 
Mkuu una uzoefu zaidi ya mwaka na nusu. Kila sector Upo. Uhasibu,ugavi,utawala biashara...hadi Leo hujapata kazi?
 
Wakuu habari.

Ninatafuta ajira ya muda au ya kudumu katika shirika/kampuni au taasisi yoyote iliyopo tanzania bara au zanzibar.

Nina Umri wa miaka 25.

Nina bachelor of business administration in procurement and logistics management.

Nina uziefu ufuatao;

warehouse management (6 month at Olam company as a volunteer)

Bank officer trainee (5 month at crdb bank as field attachment).

Accountant (3 month at Tanganyika education and consultancy centre as field attachment.

Marketing and customer service( crdb bank)

Sichagui kazi ivo ninaweza kufanya kazi katika mahoteli,clubs,restaurants, makampuni ya ulinzi,usafirishaji,na nyingine nyingi ambazo huenda sijataja.

Kwa yeyote mwenye uhitaji au anauwezo wa kuniunganisha na mtu mwenye uhitaji nitashukuru endapo atanisaidia.

Asanteni.
nenda ulinzi bro...... unapata fasta tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom