Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 5,345
- 9,202
Habari wanaJF....
Poleni na mihangahiko ya hapa na pale ya ujenzi wa taifa.. Tuendelee kulipambania taifa letu itoshe tu kusema kazi iendelee.
Nije kwenye hoja yangu.. Naamini humu kuna mafundi ujenzi wengi tu na pia kuna wadau ambao walishawahi kufanya hizi pia watu kwenye kampuni za ujenzi au hata wale ambao wanafahamiana na watu wa aina hiyo. Tafadhali naombe usiupite huu Uzi kama unayo nafasi ya kunisaidia mimi ndugu yenu naombeni mnishike mkono tafadhali nahitaji kibarua kama saidia fundi. Nina uzoefu na hiyo kazi pia nafanya kazi kwa bidii sana sehemu yoyote ile hapa nchini niko tayari kuja kufanya kazi.
Natanguliza shukurani zangu.
Poleni na mihangahiko ya hapa na pale ya ujenzi wa taifa.. Tuendelee kulipambania taifa letu itoshe tu kusema kazi iendelee.
Nije kwenye hoja yangu.. Naamini humu kuna mafundi ujenzi wengi tu na pia kuna wadau ambao walishawahi kufanya hizi pia watu kwenye kampuni za ujenzi au hata wale ambao wanafahamiana na watu wa aina hiyo. Tafadhali naombe usiupite huu Uzi kama unayo nafasi ya kunisaidia mimi ndugu yenu naombeni mnishike mkono tafadhali nahitaji kibarua kama saidia fundi. Nina uzoefu na hiyo kazi pia nafanya kazi kwa bidii sana sehemu yoyote ile hapa nchini niko tayari kuja kufanya kazi.
Natanguliza shukurani zangu.