Tonney Jully
Member
- Nov 9, 2013
- 11
- 0
Jaman natafta mchumba aliye somea ICT aje anisaidie kurun biznes yng ya cyber cafe!
Bado hujaeleweka kabisa.Jaman natafta mchumba aliye somea ICT aje anisaidie kurun biznes yng ya cyber cafe!
wafanyakazi wame niibia vi2 mpaka nimechoka!
Jaman natafta mchumba aliye somea ICT aje anisaidie kurun biznes yng ya cyber cafe!
Kweli dunia hii ina mchanganyiko wa watu, mchumba wa ku-run internet cafe, kwa hiyo biashara ikifilisika, uchumba unavunjika unaruhusu mwanaume mwingine amwoe looo..!!!
Jaman natafta mchumba aliye somea ICT aje anisaidie kurun biznes yng ya cyber cafe!
Dah, JF ya sasaaaa..........kweli si ya zamani