johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,780
- 141,667
Katika siasa hakuna rafiki wala adui wa kudumu.
2020 wagombea wa CCM wengi watakaokatwa mikia watapenda kupitia daraja la Chadema kuingia bungeni kama ilivyokuwa 2015 na baadae wataunga mkono juhudi kama ilivyofanyika 2018.
Endapo mh Ndugai atajiunga na Chadema ili kugombea nafasi kubwa zaidi sipati picha jinsi makamanda watakavyowageuka CAG na Masele plus yule Nassari na kummwagia misifa lukuki spika mstaafu wakati huo.
Natafakari tu
Maendeleo hayana chama!
2020 wagombea wa CCM wengi watakaokatwa mikia watapenda kupitia daraja la Chadema kuingia bungeni kama ilivyokuwa 2015 na baadae wataunga mkono juhudi kama ilivyofanyika 2018.
Endapo mh Ndugai atajiunga na Chadema ili kugombea nafasi kubwa zaidi sipati picha jinsi makamanda watakavyowageuka CAG na Masele plus yule Nassari na kummwagia misifa lukuki spika mstaafu wakati huo.
Natafakari tu
Maendeleo hayana chama!