Natabiri Zanzibar kutoruhusiwa kushiriki CECAFA mwakani?

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,107
18,323
Kwa jinsi upepo wa siasa za chama cha mapinduzi unavyo kwenda na ukizingatia kilicho tokea pale ZFA ilipo kubaliwa kuwa mwanachama wa FIFA na baadae kuobdolewa, kuna kila dalili umakini ulio onyeshwa na Zanzibar heroes utaleta majanga .

Kwa kupitia mashindano haya Zanzibar imejipambanua kama nchi inayo jitambua yenye watu wanao ipenda nchi yao .

Hawakwenda kama Tanzania visiwani kama vile Tanganyika ilivyo jivika unafiki na kujiita Tanzania bara wakati hakuna Tanzania visiwani au pwani.

Nitafurahi sana Zanzibar ikiipiga Kenya ili Dunia ijue kuna nchi inaitwa Zanzibar inayo ongozwa na Tanganyika kwa kujivika jina jipya LA Tanzania.
 
Kwa jinsi upepo wa siasa za chama cha mapinduzi unavyo kwenda na ukizingatia kilicho tokea pale ZFA ilipo kubaliwa kuwa mwanachama wa FIFA na baadae kuobdolewa, kuna kila dalili umakini ulio onyeshwa na Zanzibar heroes utaleta majanga .

Kwa kupitia mashindano haya Zanzibar imejipambanua kama nchi inayo jitambua yenye watu wanao ipenda nchi yao .

Hawakwenda kama Tanzania visiwani kama vile Tanganyika ilivyo jivika unafiki na kujiita Tanzania bara wakati hakuna Tanzania visiwani au pwani.

Nitafurahi sana Zanzibar ikiipiga Kenya ili Dunia ijue kuna nchi inaitwa Zanzibar inayo ongozwa na Tanganyika kwa kujivika jina jipya LA Tanzania.

Hivi ndio kilichopo kichwani mwako ? Badala ya kuwaza mambo ya maana ya uchumi na maendeleo unnawaza mambo ya kipuuzi .
 
Kwahani, mchanga mwingi

Hahahaaa
Hiyo sehemu inayoitwa mfereji wa wima naskia kulikuwa naabasha wengi sana ukiinama kuchota Maji Watu wana Pima oil ikawalazimu bomba la Maji lifanywe Kama shower kuepuka Watu kuchota Maji huku wameinama
 
Back
Top Bottom