Natabiri yatakayotokea katika mwaka 2021 Open Your Eyes

naombeni nikae siti ya mwisho ili jamaa akimalza semina ya kutabiri niwahi mlango wa kutokea. "nazidi kuogopa."
 
Twambie mwili wa Ben Saanane mmeutupa wapi? Acha kujibaraguza na unajimu UCHWARA!
Natabiri yatakayo tukia katika 2021,

Kwa uwezo nilionao kuona yasio onekana kusikia watu wasio sikia, kusikia harufu usio weza kukisikia nakufichua yalio sirini kabla yakutokea.

Awali ya yote Mwenye haki wangu ataishi Kwa Imani na kamwe hawezi tetereka.

Kitakuwa na mtikisiko kutoka pande zakusini mashariki na Magharibi ya Kati mtikisiko huu utaisumbuwa nchi Ila wenye kusali na wazidi kusali misikitini na makanisani ombea Taifa.

Hali ya fedha uwenda isiwe nzuri Sana kutokana na nchi wahisani kupunguza misaada kutokana na sababu za kiuchumi ktk mataifa Yao ama kutokana na mashari ambayo tunaweza shindwa kuyatekeleza kutokana na hali ya siasa za sasa.

Kutokuwa na vishindo kadhaa k atikaBunge la jamuhuri ya Muungano na uwenda wengi tunaweza tusiamini Ila ndivyo yaweza Kuwa upepo mkali kuto Magharibi na mashariki unaweza kulipiga Bunge letu japo naiman Mungu atatupitisha salama.

Ktk Meza ya Taifa patakuwa na mafile magumu kifunguliwa na pia magumu kusomeka na kila wakuu wakiyasoma watakutwa na hali ya usingizi mkali na ndoto zakutisha kiasi ma file hayo yataondolewa nakurudishwa hazina nakufungiwa pasipo kusomwa.

Viongozi wakuu wakitaifa watasumbuliwa na ndoto ndoto zakuwatisha na watashindwa kuzifafanua Ila wakiziweka hapa Zita tafisiriwa japo watashindwa tekeleza kutokana na hofu.

Chakula kitakuwepo Ila bei zitakuwa juu. Hivyo weka akiba ya chakula.

Hali ya ajira bado haitokuwa nzuri vijana tujiongeze tutafute suluhu ya hili kwa kujikita ktk ujasiriamali.

Kutatokea mabadiliko madogo ktk Baraza la mawaziri na mabadiliko makubwa Kwa wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi.

Mtikisiko ktk sekta ya ajira sekta binafsi utalitesa Taifa na huwenda kama serikali haitochukua hatuwa watu wengi watakosa ajira nakufunga Biashara. Nilazima tuishi Kwa akili.

Ni mwaka wa baraka ila ni mwaka mgumu Sana.

Ends

Huu ni utabiri naandika kile nasikia niandike. Natabiri haya tusali na sio tusubiri yatokee japo yapo yatakayo tokea no way.
 
Tabiri kama midege yetu itawapeleka wachagga kwao kwa xmas kwa nauli sawa na bure
Si unajuwa wachagga wame continue tokea enzi hizo na we cant them
 
Mwaka wa baraka ila mgumu, kwahiyo ugumu ndo baraka.
Hili la chakula kuwa shida umechemka na litakuaibisha, tunza maneno yangu.
 
Natabiri yatakayo tukia katika 2021,

Kwa uwezo nilionao kuona yasio onekana kusikia watu wasio sikia, kusikia harufu usio weza kukisikia nakufichua yalio sirini kabla yakutokea.

Awali ya yote Mwenye haki wangu ataishi Kwa Imani na kamwe hawezi tetereka.

Kitakuwa na mtikisiko kutoka pande zakusini mashariki na Magharibi ya Kati mtikisiko huu utaisumbuwa nchi Ila wenye kusali na wazidi kusali misikitini na makanisani ombea Taifa.

Hali ya fedha uwenda isiwe nzuri Sana kutokana na nchi wahisani kupunguza misaada kutokana na sababu za kiuchumi ktk mataifa Yao ama kutokana na mashari ambayo tunaweza shindwa kuyatekeleza kutokana na hali ya siasa za sasa.

Kutokuwa na vishindo kadhaa k atikaBunge la jamuhuri ya Muungano na uwenda wengi tunaweza tusiamini Ila ndivyo yaweza Kuwa upepo mkali kuto Magharibi na mashariki unaweza kulipiga Bunge letu japo naiman Mungu atatupitisha salama.

Ktk Meza ya Taifa patakuwa na mafile magumu kifunguliwa na pia magumu kusomeka na kila wakuu wakiyasoma watakutwa na hali ya usingizi mkali na ndoto zakutisha kiasi ma file hayo yataondolewa nakurudishwa hazina nakufungiwa pasipo kusomwa.

Viongozi wakuu wakitaifa watasumbuliwa na ndoto ndoto zakuwatisha na watashindwa kuzifafanua Ila wakiziweka hapa Zita tafisiriwa japo watashindwa tekeleza kutokana na hofu.

Chakula kitakuwepo Ila bei zitakuwa juu. Hivyo weka akiba ya chakula.

Hali ya ajira bado haitokuwa nzuri vijana tujiongeze tutafute suluhu ya hili kwa kujikita ktk ujasiriamali.

Kutatokea mabadiliko madogo ktk Baraza la mawaziri na mabadiliko makubwa Kwa wakuu wa mikoa, wilaya na wakurugenzi.

Mtikisiko ktk sekta ya ajira sekta binafsi utalitesa Taifa na huwenda kama serikali haitochukua hatuwa watu wengi watakosa ajira nakufunga Biashara. Nilazima tuishi Kwa akili.

Ni mwaka wa baraka ila ni mwaka mgumu Sana.

Ends

Huu ni utabiri naandika kile nasikia niandike. Natabiri haya tusali na sio tusubiri yatokee japo yapo yatakayo tokea no way.
Somen vyema huu utabiri. Hakuna kitakacho pita bila tokea
 
Back
Top Bottom