Kila heri kwa utabiri au ubashiri wako. Tunasubiri tuone.Mimi siyo mganga kama MziziMkavu au Mshana Jr , mimi sina kinyongo kama Kitimoto pia mimi nipo timamu kabisa sina mizengwe kama Dj DON NALIMISON wala mimi siyo intelijensia kama Infantry Soldier
Natabiri yafuatayo;
Kwenye hii miezi mitatu yaani watisa, kumi na kumi na moja yafuatayo yatatokea.
1- Ongezeko la ID nyingi zitakazo Kuwa na mlengo wa kuishambulia JamiiForums pamoja na serikali.
2- Kuna member aliye potea jukwaa zaidi ya miaka 3 na si chini ya miaka 2 ataonekana jukwaani.
3- Kuna member maarufu sana humu jukwaani atapata life ban(Permanent ban)
4- Ongezeko la Temporary ban kwa member wengine (Zaidi ni Member maarufu)
5- Viongozi wa ngazi za juu serikalini watakuja kwa ID fake.
6- Kuna mwana JF atapata teuzi serikalini
Hayo ni baadhi, hivyo nitaendelea kuwajuza.
Mimi ni mtu kutoka kuzimu, karibuni kuzimuni 🗿
The return of 🗽Dead Man
Ikitokea kweli mwakani ikawa 2022 nitaamini wewe mchawi
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app