Natabiri yafuatayo yatatokea

Huyu mwana jf Ni Pascal mayala..au?
Mimi siyo mganga kama MziziMkavu au Mshana Jr , mimi sina kinyongo kama Kitimoto pia mimi nipo timamu kabisa sina mizengwe kama Dj DON NALIMISON wala mimi siyo intelijensia kama Infantry Soldier
Natabiri yafuatayo;
Kwenye hii miezi mitatu yaani watisa, kumi na kumi na moja yafuatayo yatatokea.
1- Ongezeko la ID nyingi zitakazo Kuwa na mlengo wa kuishambulia JamiiForums pamoja na serikali.

2- Kuna member aliye potea jukwaa zaidi ya miaka 3 na si chini ya miaka 2 ataonekana jukwaani.

3- Kuna member maarufu sana humu jukwaani atapata life ban(Permanent ban)

4- Ongezeko la Temporary ban kwa member wengine (Zaidi ni Member maarufu)

5- Viongozi wa ngazi za juu serikalini watakuja kwa ID fake.

6- Kuna mwana JF atapata teuzi serikalini

Hayo ni baadhi, hivyo nitaendelea kuwajuza.

Mimi ni mtu kutoka kuzimu, karibuni kuzimuni
The return of Dead Man
 
Mimi siyo mganga kama MziziMkavu au Mshana Jr , mimi sina kinyongo kama Kitimoto pia mimi nipo timamu kabisa sina mizengwe kama Dj DON NALIMISON wala mimi siyo intelijensia kama Infantry Soldier
Natabiri yafuatayo;
Kwenye hii miezi mitatu yaani watisa, kumi na kumi na moja yafuatayo yatatokea.
1- Ongezeko la ID nyingi zitakazo Kuwa na mlengo wa kuishambulia JamiiForums pamoja na serikali.

2- Kuna member aliye potea jukwaa zaidi ya miaka 3 na si chini ya miaka 2 ataonekana jukwaani.

3- Kuna member maarufu sana humu jukwaani atapata life ban(Permanent ban)

4- Ongezeko la Temporary ban kwa member wengine (Zaidi ni Member maarufu)

5- Viongozi wa ngazi za juu serikalini watakuja kwa ID fake.

6- Kuna mwana JF atapata teuzi serikalini

Hayo ni baadhi, hivyo nitaendelea kuwajuza.

Mimi ni mtu kutoka kuzimu, karibuni kuzimuni 🗿
The return of 🗽Dead Man
Ulikuwa ndo unmaliza kula, kunywa au kuvuta nini ulipoandika uzi huu?
 
Iyo Number 2 namuona @CCPN Engineer aka Padri mcharo
Mimi siyo mganga kama MziziMkavu au Mshana Jr , mimi sina kinyongo kama Kitimoto pia mimi nipo timamu kabisa sina mizengwe kama Dj DON NALIMISON wala mimi siyo intelijensia kama Infantry Soldier
Natabiri yafuatayo;
Kwenye hii miezi mitatu yaani watisa, kumi na kumi na moja yafuatayo yatatokea.
1- Ongezeko la ID nyingi zitakazo Kuwa na mlengo wa kuishambulia JamiiForums pamoja na serikali.

2- Kuna member aliye potea jukwaa zaidi ya miaka 3 na si chini ya miaka 2 ataonekana jukwaani.

3- Kuna member maarufu sana humu jukwaani atapata life ban(Permanent ban)

4- Ongezeko la Temporary ban kwa member wengine (Zaidi ni Member maarufu)

5- Viongozi wa ngazi za juu serikalini watakuja kwa ID fake.

6- Kuna mwana JF atapata teuzi serikalini

Hayo ni baadhi, hivyo nitaendelea kuwajuza.

Mimi ni mtu kutoka kuzimu, karibuni kuzimuni
The return of Dead Man
 
Back
Top Bottom