We umesahau ni wananchi wa wapi wamemchagua?
Kama Lema ni chizi na akashindanishwa na Batilda Buriani na Lema akashinda unadhani hapo wanachi nani walimuona chizi?
We umesahau ni wananchi wa wapi wamemchagua?
Kama Lema ni chizi na akashindanishwa na Batilda Buriani na Lema akashinda unadhani hapo wanachi nani walimuona chizi?
Ni chizi na machizi bora wabaki na machizi wenzao
Mtoa mada anaonekana kama gamba hivi!! Tena inawezekana katumwa.Kaka una post 4 tu kaa macho au uko kazini kama hao wanao bwabwaja ? Mtangojea weee mtachoka .Chadema wakigundua wewe ni gugu unakatwa mara moja .Yule Mbung gani sijui mwache uone akatavyo katwa.Watu wako kimya wanafanya kazi wewe endeklea kuota huko security guard .
Hata kada hatulitaki, CDM tunaprefer zaidi kuitana MAJEMBE rather than Makada, Makada inakuwa ni kama yale mabwanyenye ya CCM. Neno kada limepoteza sifa na mvuto kwa CDM.
Wauwaji ni bora zaidiMakamanda ndilo linanoga zaidi.......hili chama kikosi maalumu
Anyway, achana na Green Guard huyo
Baada ya vugu vugu kubwa la uchaguzi na harakati nyingi na majungu mengi pamoja na vurugu za hapa na pale baina ya vyama vya siasa na mengineyo,naweza KUTABIRI wazi kutokana na habari nilokuwa nazo ( usiniulize nimezipata wapi ) kuna kila aina ya dalili kutoka kwa baadhi ya vigogo wa chama cha CHADEMA kuhama chama kutokana na baadhi ya viongozi hao kutokubaliana na mwenendo wa chama hicho...
Naweza nikataja majina ya baadhi ya viongozi hao lkn inawezekana nikawaharibia harakati zao hizo ama nikazidisha fitna ni bora tu wakayamaliza wenyewe.
Ila ninachowaomba tu endapo watahama ni bora kuhamia vyama vyengine vya upinzani kuliko kwenda kwa mafisadi wa CCM,kwani wakenda huko laana tu ya wananchi itawakumba kama ilivowatokea wenzao walopita,nafikiri mifano ipo Wawaangalie kina Tambwe hiza,Atiki ( wamekutwa wanagombana kwa kulipa mishkaki ) salum msabah ( yupo hoi kitandani ). Nafikri wadau mtawakumbusha na wengine walowahi kutokea.
Bora kina Lwakatare na Pr Safari hata kama hawatajiki kama mwanzo lkn bado heshima zao zipo juu sana na wanakubalika popote,ndio maana nikasema bora kama wana dhamira hiyo basi waende vyama vyengine vya upinzani ama wabakie tu CHADEMA kuliko kwenda CCM
Mh.Majimarefu umeamua kumrithi Sheikh Yahaya???
Nimerudi kidogo baada ya kupitia comments za wadau tofauti, kwangu naona ipo haja ya viongozi wa CHADEMA ambao humu jamvini wamo,waje wakanushe hili na mimi nitakuja na ushahidi wangu. Ili tuondeo dhanna ya kutoaminiana kwa hili tunaloongea, nasema nina dhamira ya dhati,najulikana msimamo wangu humu JF ni mpinzani na msimamo wangu dhidi ya hili dudu CCM.\
Dhamira yangu kuu maisha ni kuukuza upinzani na hasa ushirikiano baina ya vyama vya upinzani,naamini wanaonijua humu kwa muda mrefu basi wakirudisha nyuma kumbukumbu zao watakumbuka baadhi ya thread zangu za ushirikiano wa upinzani.
kwa kuwa magamba wamezoea kukalia vogogo basi wanafikiri kila kiongozi wa chama fulani ni kigogo.
Utabiri ni kupiga ramli.Upigaji ramli hauhitajiki JF.
Baada ya vugu vugu kubwa la uchaguzi na harakati nyingi na majungu mengi pamoja na vurugu za hapa na pale baina ya vyama vya siasa na mengineyo,naweza KUTABIRI wazi kutokana na habari nilokuwa nazo ( usiniulize nimezipata wapi ) kuna kila aina ya dalili kutoka kwa baadhi ya vigogo wa chama cha CHADEMA kuhama chama kutokana na baadhi ya viongozi hao kutokubaliana na mwenendo wa chama hicho...
Naweza nikataja majina ya baadhi ya viongozi hao lkn inawezekana nikawaharibia harakati zao hizo ama nikazidisha fitna ni bora tu wakayamaliza wenyewe.
Ila ninachowaomba tu endapo watahama ni bora kuhamia vyama vyengine vya upinzani kuliko kwenda kwa mafisadi wa CCM,kwani wakenda huko laana tu ya wananchi itawakumba kama ilivowatokea wenzao walopita,nafikiri mifano ipo Wawaangalie kina Tambwe hiza,Atiki ( wamekutwa wanagombana kwa kulipa mishkaki ) salum msabah ( yupo hoi kitandani ). Nafikri wadau mtawakumbusha na wengine walowahi kutokea.
Bora kina Lwakatare na Pr Safari hata kama hawatajiki kama mwanzo lkn bado heshima zao zipo juu sana na wanakubalika popote,ndio maana nikasema bora kama wana dhamira hiyo basi waende vyama vyengine vya upinzani ama wabakie tu CHADEMA kuliko kwenda CCM
Hivi hata kam ni utabiri huu umezidi! Kwa nini usitabiri CCM itakufa muda si mrefu kwa kuwa ina migogoro iliyo wazi kabisa. Lakini yote hayo hujaoni unakimbilia CDM ambako hata kama kuna migogoro siyo kama ya wanaCCM! Jamani tuwe tunafikiri kabla ya kupost.
MKASA WA MWAKYEMBE NA WAUAJI WA KUKODI TAYARI UMETUFUNDISHA MENGI MNO JUU YA SHEIKH YAHAYA NA CHIMBUKO LA 'TABIRI' ZAKE KUKIDHI AZMA ZA VIJIWE VYA SIASA NCHINI
Hata sheikh Yahaya tumegundua janja zake kutokana na mkasa wa Dr Mwakyembe kuwa alikua ni MBURUDISHAJI JAMII TU KWA KUCHEZEA AKILI ZETU huku akitumika kama kipaza sauti kutangaza uchuro wa baadhi ya mipango ya mauaji uvunguni laki kutaka kuaminisha umma kwamba ati katabiri.
Hakuna Mtanzani yeyote atakayeamini tena ghiliba zaidi za 'Tabiri' za Sheikh Yahaya mamboleo kuwa 'msemaji' wakijiwe chochote cha kisiasa nchini kama ambavyo tulivyozoeleka kuingizwa mjini hadi pale ambapo Dr Mwakyembe alipotufunuli PAKA MWEUSI WA MWEMBECHAI(nalo pia likatolewe TAMKO) na janja zake mchana kweupe.
Nasema katika makundi hasimu mbali mbali ndani ya CCM, kundi litakaloibuka mshindi ni kundi lile litakalochagua kuunda genge na Mafisadi na badala yake kuwa upande mmoja na sisi wananchi.
Kundi mshindi kati ya makundi yote ya CCM ya hivi leo litakua ni kundi litakaloibuka mshindi lile kundi LITAKALOWEZA KUKIRIDHISHA CHADEMA kukubaliana na itikadi yetu ya UTAWALA WA MAMLAKA YA UMMA kuenziwa dhidi ya ufisadi hata wakajiunga kwetu wa kwanza kabla ya makundi mengineo kufanya hivo.
Wala sintostaajabu makada wawili watatu KULIPIWA MAHARI YA THAMANI KUBWA ama kuozwa huko huko CCM au kule kwenye CHAMA-KITENGO cha NCCR Mageuzi. Na huo ndio ukweli kuhusu jaribio la kumuondoa Mhe Mbatia ili huyo MWALI KUTOKA CDM akakutane na WACHUMBA WAKE MAFISADI huko huko.
Kama hii kamari ndio unaiona mchezo mpya kwako wewe hapo basi bora ungeomba msaada ukamegewe vipande mara kumi zaidi juu ya hili. Hata hivyo, Watanzania wa leo si wajinga; ndoa ya aina hii ambayo mpango unasema ufanyike wakati wowote kabla ya 2015, tayari ni ndoa haramu kuliko hata ile ya KAFU na CCM.
Ndugu CCM haina haja ya kuitabiri,hicho kinaeleweka wazi,mpaka kaburi tushachimba bado kuifukia tu. Tunachoangalia hivi sasa ni sisi wapinzani tusije tukajikwaa sehemu then tukawapa nafasi haya mafisadi. Hili unaliona dogo lkn hujui athari yake,CCM ndipo wanatumia mwanya sehemu kama hizi.
Najua nini ninachokiongea,na kama hatujajadili namna gani ya kulizuwia hili,Nakuhakikishieni maisha vyama vya upinzani havitakuja juu. Tuangalie wapi makosa yetu ili tuweze kuhakikisha tunaling'oa fisadi CCM,tumechoka nao.
Nitaendelea kuleta habari ambazo kama hizi zinazonitia kichefu chefu,lkn ambazo nitakuwa nina hakika nazo.