Natabiri: Vigogo wa CHADEMA kuhama chama kabla ya 2015

Calipso

JF-Expert Member
Mar 25, 2009
284
15
Baada ya vugu vugu kubwa la uchaguzi na harakati nyingi na majungu mengi pamoja na vurugu za hapa na pale baina ya vyama vya siasa na mengineyo,naweza KUTABIRI wazi kutokana na habari nilokuwa nazo ( usiniulize nimezipata wapi ) kuna kila aina ya dalili kutoka kwa baadhi ya vigogo wa chama cha CHADEMA kuhama chama kutokana na baadhi ya viongozi hao kutokubaliana na mwenendo wa chama hicho...

Naweza nikataja majina ya baadhi ya viongozi hao lkn inawezekana nikawaharibia harakati zao hizo ama nikazidisha fitna ni bora tu wakayamaliza wenyewe.

Ila ninachowaomba tu endapo watahama ni bora kuhamia vyama vyengine vya upinzani kuliko kwenda kwa mafisadi wa CCM,kwani wakenda huko laana tu ya wananchi itawakumba kama ilivowatokea wenzao walopita,nafikiri mifano ipo Wawaangalie kina Tambwe hiza,Atiki ( wamekutwa wanagombana kwa kulipa mishkaki ) salum msabah ( yupo hoi kitandani ). Nafikri wadau mtawakumbusha na wengine walowahi kutokea.

Bora kina Lwakatare na Pr Safari hata kama hawatajiki kama mwanzo lkn bado heshima zao zipo juu sana na wanakubalika popote,ndio maana nikasema bora kama wana dhamira hiyo basi waende vyama vyengine vya upinzani ama wabakie tu CHADEMA kuliko kwenda CCM
 
Baada ya vugu vugu kubwa la uchaguzi na harakati nyingi na majungu mengi pamoja na vurugu za hapa na pale baina ya vyama vya siasa na mengineyo,naweza KUTABIRI wazi kutokana na habari nilokuwa nazo ( usiniulize nimezipata wapi ) kuna kila aina ya dalili kutoka kwa baadhi ya vigogo wa chama cha CHADEMA kuhama chama kutokana na baadhi ya viongozi hao kutokubaliana na mwenendo wa chama hicho...

Naweza nikataja majina ya baadhi ya viongozi hao lkn inawezekana nikawaharibia harakati zao hizo ama nikazidisha fitna ni bora tu wakayamaliza wenyewe.

Ila ninachowaomba tu endapo watahama ni bora kuhamia vyama vyengine vya upinzani kuliko kwenda kwa mafisadi wa CCM,kwani wakenda huko laana tu ya wananchi itawakumba kama ilivowatokea wenzao walopita,nafikiri mifano ipo Wawaangalie kina Tambwe hiza,Atiki ( wamekutwa wanagombana kwa kulipa mishkaki ) salum msabah ( yupo hoi kitandani ). Nafikri wadau mtawakumbusha na wengine walowahi kutokea.

Bora kina Lwakatare na Pr Safari hata kama hawatajiki kama mwanzo lkn bado heshima zao zipo juu sana na wanakubalika popote,ndio maana nikasema bora kama wana dhamira hiyo basi waende vyama vyengine vya upinzani ama wabakie tu CHADEMA kuliko kwenda CCM

Ahsante kwa breaking news.
 
Kigogo maana yake ni Mzee aliyekaa madarakani muda mrefu na ana harufu ya udikteta na ufisadi....

CDM hakuna vigogo, vigogo wako CCM, labda ungesema makada.
 
Baada ya vugu vugu kubwa la uchaguzi na harakati nyingi na majungu mengi pamoja na vurugu za hapa na pale baina ya vyama vya siasa na mengineyo,naweza KUTABIRI wazi kutokana na habari nilokuwa nazo ( usiniulize nimezipata wapi ) kuna kila aina ya dalili kutoka kwa baadhi ya vigogo wa chama cha CHADEMA kuhama chama kutokana na baadhi ya viongozi hao kutokubaliana na mwenendo wa chama hicho...

Naweza nikataja majina ya baadhi ya viongozi hao lkn inawezekana nikawaharibia harakati zao hizo ama nikazidisha fitna ni bora tu wakayamaliza wenyewe.

Ila ninachowaomba tu endapo watahama ni bora kuhamia vyama vyengine vya upinzani kuliko kwenda kwa mafisadi wa CCM,kwani wakenda huko laana tu ya wananchi itawakumba kama ilivowatokea wenzao walopita,nafikiri mifano ipo Wawaangalie kina Tambwe hiza,Atiki ( wamekutwa wanagombana kwa kulipa mishkaki ) salum msabah ( yupo hoi kitandani ). Nafikri wadau mtawakumbusha na wengine walowahi kutokea.

Bora kina Lwakatare na Pr Safari hata kama hawatajiki kama mwanzo lkn bado heshima zao zipo juu sana na wanakubalika popote,ndio maana nikasema bora kama wana dhamira hiyo basi waende vyama vyengine vya upinzani ama wabakie tu CHADEMA kuliko kwenda CCM
Mh.Majimarefu umeamua kumrithi Sheikh Yahaya???
 
CDM graph yake ina paa kwenda kulia sasa wahame waende wapi?ccm inashuka ndio maana ccj,cck vimeanzishwa kupokea wakimbizi wa ccm
 
Kigogo maana yake ni Mzee aliyekaa madarakani muda mrefu na ana harufu ya udikteta na ufisadi....

CDM hakuna vigogo, vigogo wako CCM, labda ungesema makada.

kwa kuwa magamba wamezoea kukalia vogogo basi wanafikiri kila kiongozi wa chama fulani ni kigogo.
 
nawaomba wasihame hicho chama maana kina dalili ya kuleta ukombozi wa Tanzania.Kwa vile unadai ya uhakika kwako basi wape ushauri wa kubaki.
 
Mkuu mpaka hapo umesha waharibia hata kama hutataja majina .Intelijensia ya Chadema itafanya kazi mara 2 lakini naamini huu ni umbeya unaleta kupima maji .Mwenendo upi wa Chama ambao hao unawaita vigogo hawaufarahii ? Maana wale jamaa wanasema kwa sauti moja .
 
Kwa kauli zilizo za wazi na tuhuma ambazo baadhi ya viongozi wa chadema wamekuwa wakipeana ni wazi kuwa hii thread itakuwa na ukweli ingawa mwandishi ameifunika sana kiasi cha kutunyima namna mzuri ya kujadili....!
 
Mkuu mpaka hapo umesha waharibia hata kama hutataja majina .Intelijensia ya Chadema itafanya kazi mara 2 lakini naamini huu ni umbeya unaleta kupima maji .Mwenendo upi wa Chama ambao hao unawaita vigogo hawaufarahii ? Maana wale jamaa wanasema kwa sauti moja .
Kaka ni kweli unaamini hiki unachokisema...?
 
Kaka ni kweli unaamini hiki unachokisema...?

Kaka una post 4 tu kaa macho au uko kazini kama hao wanao bwabwaja ? Mtangojea weee mtachoka .Chadema wakigundua wewe ni gugu unakatwa mara moja .Yule Mbung gani sijui mwache uone akatavyo katwa.Watu wako kimya wanafanya kazi wewe endeklea kuota huko security guard .
 
Bila shaka CDM imekwisha vuka hatua ya kuangalia ni nani anahama chama. Kabouru aliondoka kwa bei ya pesa taslimu na ubunge Afrika mashariki, lakini chama kimeendelea kushamiri. CDM inatakiwa ku-focus kwenye nini watafanya 2015 baada ya kuchukua nchi. Cheyo anaweza kuondoka UDP ikayumba sana, au Mtikila kwa chama chake, lakini kama kuna mwanachama yeyote ndani ya CDM anayedhani anaweza kukiathiri chama kwa kuhama, huyo ni wa kuhurumiwa.
 
Baada ya vugu vugu kubwa la uchaguzi na harakati nyingi na majungu mengi pamoja na vurugu za hapa na pale baina ya vyama vya siasa na mengineyo,naweza KUTABIRI wazi kutokana na habari nilokuwa nazo ( usiniulize nimezipata wapi ) kuna kila aina ya dalili kutoka kwa baadhi ya vigogo wa chama cha CHADEMA kuhama chama kutokana na baadhi ya viongozi hao kutokubaliana na mwenendo wa chama hicho...

Naweza nikataja majina ya baadhi ya viongozi hao lkn inawezekana nikawaharibia harakati zao hizo ama nikazidisha fitna ni bora tu wakayamaliza wenyewe.

Ila ninachowaomba tu endapo watahama ni bora kuhamia vyama vyengine vya upinzani kuliko kwenda kwa mafisadi wa CCM,kwani wakenda huko laana tu ya wananchi itawakumba kama ilivowatokea wenzao walopita,nafikiri mifano ipo Wawaangalie kina Tambwe hiza,Atiki ( wamekutwa wanagombana kwa kulipa mishkaki ) salum msabah ( yupo hoi kitandani ). Nafikri wadau mtawakumbusha na wengine walowahi kutokea.

Bora kina Lwakatare na Pr Safari hata kama hawatajiki kama mwanzo lkn bado heshima zao zipo juu sana na wanakubalika popote,ndio maana nikasema bora kama wana dhamira hiyo basi waende vyama vyengine vya upinzani ama wabakie tu CHADEMA kuliko kwenda CCM

Uwezo wako wa kudanganya na kutengeneza hoja umeishia hapo?
 
Kigogo maana yake ni Mzee aliyekaa madarakani muda mrefu na ana harufu ya udikteta na ufisadi....

, CDM hakuna vigogo, vigogo wako CCM, labda ungesema makada.
Hata kada hatulitaki, CDM tunaprefer zaidi kuitana MAJEMBE rather than Makada, Makada inakuwa ni kama yale mabwanyenye ya CCM. Neno kada limepoteza sifa na mvuto kwa CDM.
 
Back
Top Bottom